Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Teeeehe teeehe Mungu anakuona lakini najua kiasi gani unatuogopaView attachment 411541 Eddy siyo vizuri yaani uko bize ukiedit picha yetu hahahhaha haviigwi hivi vitakurudi shauri yako...
Hahaaa mtakimbiana humu maana kwenu tutatumia dk 45 tuna wafalme kama J.u.h.a wa nchi ya kufikirika wanasumbua kweli ila dawa yao ni 4g only.....
Amen.Busy October,
Hapa ndipo kilipo kipimo sahihi cha United, Mwezi huu kutoka tarehe 17 mpaka 29 tuna mechi 5!! Hizo siyo tu-Match..... Ni mechi za moto!!!
Tutaanza na Liver, Ferna, Chels, ManC kisha tutamaliza na Burnley... Ni mwendo wa bandika bandua,kila baada ya siku tatu... mzigoni.!!! Tutahenya sana na hapa ndipo binafsi nitampima Mou, anatakiwa kutulia, hasita zake aweke pembeni, awajenge kisaikolojia Makamanda wetu kukutana na ratiba hii.
Na kwakuwa tunakikosi kipana naamini tutadonoa mmoja baada ya mwingine then kufikia Nov tunakuwa tumevimbiwa..!!!
GGMU GGMU GGMU GGMU
Nisimseme vibaya maana umri umesogea kwakeEric Cantona trolls Liverpool
“You should ask Liverpool fans whether I ever had a poor game against their team. United always won,” he told The New Straits Times .
huyo jamaa anadharau kinoma
Nisimseme vibaya maana umri umesogea kwake
Sisi vijana wa Klopp the cop... tutakachowafanyia hao manyumbu united pale Anfield watahadithiaa
Nilikuambia huko nyuma..,
Huna haja ya kuongozwa na chuki, hasira zako kwenye mjadala wa Kandanda especially hapa kwenye jukwaa la Makamanda wastaarabu.
Saizi nakuacha, tumia lita moja ya maji kisha rudi Kijiweni kwa mjadara.
THIS IS UNITED
Jipe Moyo!! Nothing but a shit of False hope.
Eddy sisi ni wabovu sikatai nyie ni wazuri ila nakwambia hunifungiiiiiiiiiii haki tena!!!! kama unabisha tupingeeeeTeeeehe teeehe Mungu anakuona lakini najua kiasi gani unatuogopa
Hahaaa mtakimbiana humu maana kwenu tutatumia dk 45 tu
We will make it kaka !!! Do you believe ? ....... am very confident aiseeeee....... we are the United...... GGMUNenda united nenda
Tupo pamoja first lady of man u!We will make it kaka !!! Do you believe ? ....... am very confident aiseeeee....... we are the United...... GGMU
Tangu namuona kwa mara ya kwanza Herrera, nilijua atakuwa xabi alonso mpya!dogo kachaguliwa kwenye timu yake ya taifa kwa mara ya kwanza
Kashasahaumisimu miwili ya van gal kawanyoshaa balaa epl na klop alipokelewa na rooney pale anfield kamoja tu
Aiseee hebu tupinge mapema kabisaEddy sisi ni wabovu sikatai nyie ni wazuri ila nakwambia hunifungiiiiiiiiiii haki tena!!!! kama unabisha tupingeeee
Tangu namuona kwa mara ya kwanza Herrera, nilijua atakuwa xabi alonso mpya!
Tatizo hatuna historia ya kushinda mechi za jumatatu...
Yaani hapa ndipo napochoka
Nakubaliana nawe historia zipo ili zivunjwe ndo changamoto zenyewe hizo.Zitavunjwa tu mkuu
Hata mkiwa na historia!Man U hii haiwezi ifunga heavy metal Liverpool tena Anfield!Tatizo hatuna historia ya kushinda mechi za jumatatu...
Yaani hapa ndipo napochoka