Mi niko kinyume na wote wanaomlalamokia Fella, Jamaa yuko vizuri sana especially ktk hii mechi ya leo. Mipira anagawa vizuri, anakaba na kusambaza inavyostahili, Kwa performance ya leo Fela anamzidi hata Pogba anapoteza mipira kila mara.
Kazi iko hapa Mbele, na tukumbuke kitimu hiki Kimepaki mno Fusso, kiasi kuipenya mgome yao inakuwa shida... Sintoshangaa Fella akabeba Man of the Match mwisho wa Mchezo...
HATUTAKAGI UJINGA..!!!