Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umeona eeh! Naona kuna karamu leo hapa isije kuwa sita tu au zaidi. MANU watafanya kweli maana wanajua haya magoli mbele ya safari yanaweza kuwa na umuhimu mkubwa sana.
Man u wameonesha kauhai flani na wachezaji wameonekana leo mpira siku zote ni mipango let us wait dakika 90ziishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…