Oscar Oscar Jr.
Kama kuna mtu bado anasema Paul Pogba alinunuliwa na United kwa bei asiyostahili, huyo mtu anaweza kuja kuwa mchawi akizeeka!!
August 20 at 12:08am · Public
1,121 · Like · React · 237 Comments ·
Share · Full Story · Report
Mentor hela yote hiyo waiweke nje... Au ndo ile umelilipia ada toto Feza na mwingine Kayumba... Alafu wa Kayumba ndo anakuja kukubeba kimasomaso baba.... Wa Feza chenga