Manchester United (Red Devils) | Special Thread

shiiit!
kwahiyo kuulizia swala lolote la pogoba siku hizi tusi na ujinga eee?? kwani tuliwalazimisha kumnunua??? acheni kupaniq nyie mbulula!


Oscar Oscar Jr.
Kama kuna mtu bado anasema Paul Pogba alinunuliwa na United kwa bei asiyostahili, huyo mtu anaweza kuja kuwa mchawi akizeeka!!
August 20 at 12:08am · Public
1,121 · Like · React · 237 Comments ·
Share · Full Story · Report
 
shiiit!
kwahiyo kuulizia swala lolote la pogoba siku hizi tusi na ujinga eee?? kwani tuliwalazimisha kumnunua??? acheni kupaniq nyie mbulula!
alinunuliwa kwa raha zetu sasa maswali yenu kwake ni ya nini....? mwacheni .....afu hatuna mchezaji anaitwa pogoba.
 
alinunuliwa kwa raha zetu sasa maswali yenu kwake ni ya nini....? mwacheni .....afu hatuna mchezaji anaitwa pogoba.


Haterz hao ni mwendo wa kupanic na kumshusha thamani pogba ni pale unagundua club yako haina uwezo wa kushindana kifedha na vilabu vikubwa
 
Haterz hao ni mwendo wa kupanic na kumshusha thamani pogba ni pale unagundua club yako haina uwezo wa kushindana kifedha na vilabu vikubwa
wanatamani sana ila hasira wanakuja kumalizia kwetu.
 
Mentor hela yote hiyo waiweke nje... Au ndo ile umelilipia ada toto Feza na mwingine Kayumba... Alafu wa Kayumba ndo anakuja kukubeba kimasomaso baba.... Wa Feza chenga
 
tuliza kitenesi wewe hukutoa hata senti kwenye ununuzi wa pogba so pita hivi
tehetehetehe wakutuliza kitenesi ni popobawa! MKATA NYWELE GHALI ZAIDI DUNIANI! mapovuuuuuuuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…