UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Tangu muanze kupita kwenye moto mwaka wa tatu huu unaenda wa nne taratibu mtaelewa kwanini arsenal tumejizoeleaIt's Okey Man United ............... Dhahabu lazima ipite kwenye moto .......... Maisha bado yanaendelea na hayana budi kuendelea ,let's move forward, Stand up United !!! We will make it!!!!..... GLORY GLORY MANCHESTER UNITED.
It's Okey Man United ............... Dhahabu lazima ipite kwenye moto .......... Maisha bado yanaendelea na hayana budi kuendelea ,let's move forward, Stand up United !!! We will make it!!!!..... GLORY GLORY MANCHESTER UNITED.
wakati unaicheka Man Utd natumai timu yako inafanya vizuri sana.Moureen ananipa burudani hapa natia udhu kwa ajili ya Watford najua wanajua cha kufanya.
Tangu muanze kupita kwenye moto mwaka wa tatu huu unaenda wa nne taratibu mtaelewa kwanini arsenal tumejizoelea
Kuwekeza kwa Moureen ni kosa kubwa Man U walifanya. Yule ni wa moto wa mabua, hayupo kwa long term na hana impact kwenye uwekezaji wa mda mrefu.
Soon tutasikia "Moureen Out"
Mbona unalalamika sasa, unapaswa kufurahi sababu unaye Wenger wa long term
Pogba mata harrera rashfod zlatan, kipa ni digea sasa hapa ukisema hawa wabovu ntashangaahawezi kutimuliwa jana hakuipa game mkazo unawaacheje nje wachezaji 6 wa kikos cha kwanza?
Pogba mata harrera rashfod zlatan, kipa ni digea sasa hapa ukisema hawa wabovu ntashangaa
Pogba mata harrera rashfod zlatan, kipa ni digea sasa hapa ukisema hawa wabovu ntashangaa
Njia unayoipita Wewe siyo lazima niipite Mimi,pengine nyie Imani yenu ni kubwa kuhimili miaka yote bila kombeTangu muanze kupita kwenye moto mwaka wa tatu huu unaenda wa nne taratibu mtaelewa kwanini arsenal tumejizoelea
Nilisikia umesema aliacha first eleven njekwa hiyo hapo timu imetimia
Intresting hahahNjia unayoipita Wewe siyo lazima niipite Mimi,pengine nyie Imani yenu ni kubwa kuhimili miaka yote bila kombebut for us ni kijipito tu na tutafika soon....... soon mambo yatakuwa sawa,kushinda ni lazima but kushindwa its a choice,sisi as Man U tunakataaa kushindwaaaaaaa tutapambana mpka kieleweke!!! Nyie endeleeni kuzoea matatizo,sisi hatuyapi nafasi tutambana mpka mwisho,Nini Pogba ?Hata Messi, CR7,Neymar,Muller etc anaweza kuja tunapambana tu mpka kitasomeka,Iwe juu iwe chini,tufungwe tusifungwe kitasomekaa tu!!!! So furahi tu ndugu yangu kwasasa lakini ndo twachomoka hivyo wenzenu. ........ yaani I like spirit of this Timu balaaaaaaaa!!!! Yaani ni kupress on kwa kwenda mbele mpka kisomeke......Glory Glory Glory Man United!!!!!
Dozi taratibu inawaingiaPaul Pogba is 'all over the place', Paul Scholes says as he urges United to buy a midfielder to help control him. [Mail]
Dozi taratibu inawaingia