Manchester United (Red Devils) | Special Thread

leo Pogba mtamuelewa kwa nafasi anayocheza lazima atupie tu au atengenea goli

Leo tutamuelewa kweli katik level yake ya Europa. Kipindi cha kwanza tu kashatupia magoli kadhaa divide by kadhaa.. Kipindi cha pili si itakuwa sawa na idadi ya pesa iliyomrudisha Old Trafford?
 
Kuna haja ya kudai ushahid wa kibenk ili kuona kama kweli pogba alinunuliwa kwa hela ile mm binafs naona wazungu wanatudanganya aise
 
Kuna haja ya kudai ushahid wa kibenk ili kuona kama kweli pogba alinunuliwa kwa hela ile mm binafs naona wazungu wanatudanganya aise
Ni bure huyu. Hata siamini. Bora niwekwe nafasi yake mimi
 
Ni bure huyu. Hata siamini. Bora niwekwe nafasi yake mimi
Tofautisha Ulaya na Bongo
Ulaya unanunua mchezaji mwenye jina unapiga pesa kupitia mauzo ya jezi
Naona mmeshupalia bei aliyonunuliwa wkt tayari Man Utd imeingiza faida...........Mmihukumu yy km yy siyo kuhisu pesa aliyonunuliwa
 
Tofautisha Ulaya na Bongo
Ulaya unanunua mchezaji mwenye jina unapiga pesa kupitia mauzo ya jezi
Naona mmeshupalia bei aliyonunuliwa wkt tayari Man Utd imeingiza faida...........Mmihukumu yy km yy siyo kuhisu pesa aliyonunuliwa
Kuuza jez haikua kazi yake msitafute kichaka jamani huyu jamaa ni kilaza
 
Mpira mnaocheza leo ni hatari. Mmewakalia kooni hawa gozigozi wa Holland. Lazima muwafunge magoli mengi 1-0.
 
Kuuza jez haikua kazi yake msitafute kichaka jamani huyu jamaa ni ******
Nimeongelea kuhusu kumuandama kwa bei aliyonunuliwa
Km hujaelewa ni juu yako
Mimi namchukulia km wachezaji wengine na kumjudge km wengine

Inaruhusiwa kuongea kishabiki maandazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…