Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Amesahau kuwa Fellaini alistahili red for repeated nasty fouls
Mwamuzi alichezesha vizuri sana
Kwa kifupi mlizidiwa kila idara kasoro kipa tu
Kun Aguero angekuwepo leo mngekula 4
 
Unaongelea HISTORIA..!!?
Kwangu HISTORIA huwa haina nafasi..!
Hata kwenye KIKAPU niko huku...
View attachment 397732So ni VYEMA usipoteze MUDA wako kuniletea HABARI za HISTORIA...
Kwangu HISTORIA huwa haina NAFASI kubwa katika MAAMUZI..!!!


Nikukumbushe tu hili jukwaa ni la mpira wa miguu sio mpira wa mikono kwa ulichokipost hapo inadhihirisha mpira hauujui ndo mana ukapost de brune kamkaba pogba.
 
Umesema ukweli kabisa mkuu
 
Madhafanta..!!!



Lazima upanic tu ushindi adimu city mana timu inayoongoza kwa kushinda mechi nyingi epl ni manchester united ikifuatiwa na aseno namo humo bado haupo tukusaidiaje ndugu? Makombe mtihani ndo mana unapagwa pagawa tu na mapicha
 
Lazima upanic tu ushindi adimu city mana timu inayoongoza kwa kushinda mechi nyingi epl ni manchester united ikifuatiwa na aseno namo humo bado haupo tukusaidiaje ndugu? Makombe mtihani ndo mana unapagwa pagawa tu na mapicha
 
Once, red and always red we had our chances at second half but we were not lucky enough to take em mistake happened n that makes the coach better coz another time he will make a good line up in order nat to repeat what happened today
Manchester is
 
Wewe kweli POYOYO..!


utaongea kila aina ya lugha hizo ni kauli za ma under dog humu jipange haswaa tunahitaji kubadilishana mawazo na wakina barcelona,buyern,real madrid sasa wewe city hata nottingham forest kumpangua inshu unazama google unakuja na picha za ma player huijui hata origin ya city alooo nakuonea huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…