Haya ngoja tusubiri ila nakuona pressure imeshapanda lol!, njemba nyingi za mtaa huu zilizoanza kujisogeza sogeza sasa zimesogea mbali sana na mtaa. Khe khe kheeeeeeeeeee
Nimefikiri hivyo pia...pamoja na kuwa out of form, Toto ni hatari kuliko Lingard; anaweka presha kubwa kwa mabeki, hivyo kupunguza nguvu yao tofauti na Lingard.
Msipoangalia zlatan ataonekana mzigo maana hana mtu wa kumchezesha pogba ni mkabaji anaentercept psi za watu, kifupi mmepotea, ila rooney mnamuweka wa nini nyie vitoga... TAFUTENI MTU WA KUMCHEZESHA ZLATAN MSIENDE KWA MAZOEA hivi huyu mourihno vipi mbona boya hivii