Pogba dogo yuko njema anagawa mapande yaliyoshiba fellaini naona naye anataka kurudia kiwango chake cha everton wachezaji wanajiamini...mourhinho dk 90 zote kasimama Van gaal dk90 zote kakaa
Kamwe sitasahau fedheha niliyoipata kwenye banda letu la mpirA uswahili kwanjeka tanga , hii ni ile siku ambyo tulipigwa na BOURNEMOUTH.. afadhal msimu huu tumewanyamazisha...
Ila southmpton nawakumbuka kwa kichapo walichompa arsenal msimu uliopita
Kamwe sitasahau fedheha niliyoipata kwenye banda letu la mpirA uswahili kwanjeka tanga , hii ni ile siku ambyo tulipigwa na BOURNEMOUTH.. afadhal msimu huu tumewanyamazisha...
Ila southmpton nawakumbuka kwa kichapo walichompa arsenal msimu uliopita
Kama hali ikiendelea kama nilivyoiona leo,Shikamoo Man utd!Mambo manne yafanyike;
Tufuatilie pale Samunge kwenye kitabu cha babu hakuna jina la mgeni mwenye sir name ya Fellaini kweli?!
Tuwape Nike na Adidas kazi ya kiuchunguzi ni jinsi gani wanaweza kutengeneza madaluga yenye spring kuweza kuruka juu vizuri otherwise timu zote za EPL with exception ya Man u zikatafute mabeki NBA..maana hawa mabeki wa sasa kila wakiruka juu wanapishana na mjomba anarudi chini huku nyavu zinatikisika😀
Wazungu bwana,kama wamemuotesha mtu nywele hawashindwi kuotesha na ubongo ujue,maana karudi mpyaaa😀
Mwisho ntamuomba Mourinho awe mkweli,aende kule Turin awape Juve hela yao iliyobaki,awaambie "nimeona niwaongezee tuu"😛😀
Wakati ule ilikuwa kituko kweli.
Unaenda kwenye mechi kama underdog. Unajua unafungwa wakati wowote na kocha hana la maana atakalofanya.
Ila sasa hivi 'fear factor' imepelekwa EPL. Tunagawa dozi kwa atakayejileta na tutakaye mfuata dozi pia.