Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Last season Bournemouth na Southampton walitufunga,Msimu huu tumepata point 6 toka kwao
 
Pogba dogo yuko njema anagawa mapande yaliyoshiba fellaini naona naye anataka kurudia kiwango chake cha everton wachezaji wanajiamini...mourhinho dk 90 zote kasimama Van gaal dk90 zote kakaa
 
Burnley bado mkuu. Au unasemea ile Bournemouth?
Kamwe sitasahau fedheha niliyoipata kwenye banda letu la mpirA uswahili kwanjeka tanga , hii ni ile siku ambyo tulipigwa na BOURNEMOUTH.. afadhal msimu huu tumewanyamazisha...

Ila southmpton nawakumbuka kwa kichapo walichompa arsenal msimu uliopita
 
Nafurahi kumuona valencia ambae babu fergie alitoa pesa kumnunua, Zlatan no comment nisiwe mnafiki, Pogba....... Tumuache tu, Martial kama hajawa vizuri bado.
 
Mechi inayofuatia tunaondoka na points 3 muhimu.
 
Kama hali ikiendelea kama nilivyoiona leo,Shikamoo Man utd!Mambo manne yafanyike;

Tufuatilie pale Samunge kwenye kitabu cha babu hakuna jina la mgeni mwenye sir name ya Fellaini kweli?!

Tuwape Nike na Adidas kazi ya kiuchunguzi ni jinsi gani wanaweza kutengeneza madaluga yenye spring kuweza kuruka juu vizuri otherwise timu zote za EPL with exception ya Man u zikatafute mabeki NBA..maana hawa mabeki wa sasa kila wakiruka juu wanapishana na mjomba anarudi chini huku nyavu zinatikisika😀

Wazungu bwana,kama wamemuotesha mtu nywele hawashindwi kuotesha na ubongo ujue,maana karudi mpyaaa😀


Mwisho ntamuomba Mourinho awe mkweli,aende kule Turin awape Juve hela yao iliyobaki,awaambie "nimeona niwaongezee tuu"😛😀
 
Jamani ni mapema sana. Tuipe timu yetu michezo kumi hivi ndio tuijue vizuri. Tusiwe kama washabiki wa Arse8..
 
Sasa hivi unaweza kukaa na familia yako vizuri ukiangalia game maana enzi za LVG ilikuwa ngumu waweza ropoka bure mbele ya watoto

Wakati ule ilikuwa kituko kweli.
Unaenda kwenye mechi kama underdog. Unajua unafungwa wakati wowote na kocha hana la maana atakalofanya.
Ila sasa hivi 'fear factor' imepelekwa EPL. Tunagawa dozi kwa atakayejileta na tutakaye mfuata dozi pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…