Nilichojifunza kwenye mechi ya leo:
Ile fear factor ya Old Trafford inaanza kurudi taratibu.
Mkubwa Fella ( Fellaini )amepiga shughuli flani ya kiutu uzima leo.
Pogba bado hajawa fiti asilimia 100 lakini movement zake ni za hatari tunaomba marefa wamlinde. Baada ya muda mrefu sasa tumepata Box-to-Box Midfielder.
Ni bora Zlatan Mzee kuliko Giroud Kijana.
Eric Bailly ni Nemanja Vidic mpya!!