Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha anamtaka Pogba na klabu inayo hela ya kumnunua ,sasa unataka Matuidi asajiliwe na nani ? Pesa sio issue kwa Man United
Haya mapenzi na ushauri wa majirani zetu in abidi tunyamaze kwa mapenzi gani mpaka watuonee huruma?
 
Msagasumu at work!!!! ...... poleeeee si kwetu hainaga ------- tunakulaga!!!
 
Baada ya misimu miwili Manure watashuka daraja. Hawajajifunza kwa Chelshit bado. Mouthrinho sio wa kuamini kabisa for long term investment. Atakupa vikombe kadhaa, then anakurudisha unakostahili
Hivi Wenger in or out?......... mume wa Mimi missing you much next season utahama nyumba
 
Mi ni shabiki wa utd na sikubalian na hii kitu kabisa
 
Huu ni utumbo mtupu kwasababu sioni Man wakiwatumia hawa wachezaji msimu huu.

Kwani msimu ushaanza!? Acha hizo wewe subiri mwezi wa nane utawaona, pre season si kitu hayo ni kama mazoezini
 
Mkuu mbona swala ili la pesa ya Pogba lishajibiwa humu kitambo, na jibu lilikua rahisi sana mkuu "vipi hiyo hela inatoka mfukoni kwako au unapungukiwa nini akinunuliwa kwa gharama kubwa..??"
Wanaumizwa na mambo yetu kuliko ya kwao haya mahaba ya ajabu sana.
 
You have got a point bro, tatizo sio uwezo wa Utd kifendha, ila reality hiyo ni a lot of money.

Na hiyo issue ya pressure ni kweli, 'hope' awze Ku cope nayo.

#GGMU
 
Pogba namkubali sana, pili pesa sitoi mfukoni kwangu lakini hiyo pesa ni nyingi MNO kwakweli, Tuangalie option nyingine
Ni kweli mkuu, kukubali kutoa huo mzigo wote pia kunaweza kuleta matatizo hata katika contracts zinazofuata.

Timu ikiona Utd wanaonesha interest lazima waweke price tag kubwa, coz wanajua Utd they have got money na hawana shida Ku spend.

Hata kama hela ipo, baadae tutakuja kuuziwa average player kabisa kwa hela ya kishenz..
 
Unawaita 'vibonde' afu unasema unawakubali.. Hahah
 
Hivi Wenger in or out?......... mume wa Mimi missing you much next season utahama nyumba
Wenger always in, binafsi namkubali mzee. Muke ya ujana wangu, mapenzi hunoga tukiwa watani wa jadi ujuwe
 

Enough said...
 
 
Breaking: Pogba is set to have medical in miami this afternoon after following his agreement last night with his agent . (Sky source)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…