Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tufungwe zote tu. Sio tushinde kama ile ya Van Gaal halafu kwenye league tubaki tunaangaliana.
Tukiwa tunafungwa kocha atagundua mapungufu mapema sana.
Hizi match ni trial, ambapo tutagundu ubovu mapema, kufungwa hakuana athari hasi bali chanya kwa kuwa tunajinoa zaidi ya pale, relax dude toa hofu sisi ndiyo the red devil, winning is our spirit..
 
Hiki kitendo cha kuchukua namba ya martial bila kumtaarifu sio cha kiungwana kabisa.

Hope litawekwa sawa
 
Mkuu martial kalalamika?
Hajalalamika public but bouhafsi ambae yupo karibu sana na kambi ya martial jana ka twit kwamba dogo hajapenda icho kitendo sababu ndio alikua anaanza kuitambulisha rasmi brand yake ya 'AM9' alafu baadae dogo akai unfollow manchester kwenye account yake ya Twitter na instagram, baada ya muda kidogo aka change profile picha yake ya fb

https://www.facebook.com/
 
Daaaaah mou inabid aongee nae

Mi mweyewe moyo umeniuma
 
Daaah kiukweli siyo haki kabisa ilibidi dogo wampe heshima yake last year jezi yake worldwide kwenye mauzo ilikuwa ya 3 too sad, kwa kweli Ibra he's not a king but a god to man u teeeeehe teeeeeh
 
Mambo ya kijinga kabisa wakati mwingine hawa watu hufanya.
Sure....
Mou bila migogoro huwa hajisikii amani kabisa ... Dogo debut yake anatufunga, kawa prove wengi wrong lakini mwisho wa siku hawaoni mchango wake ... nakaona kamgogoro kakucheza bila morali msimu huu kana wanyemelea hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…