Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Safi bado mmoja.

Nilipoona hii habari fasta nikaenda MUTV labda nitaikuta interview yake nakuta wanaonesha game ya Southampton ya miaka hiyooo.
Huyo mmoja sijui atakuwa nani. Ngoja nisubiri kwa hamu
 
Hapo ni experience plus taste.

Namuona martial anachukua namba 9 permanently.
Namba 9 kama playing position au kama Jersey number?

Kama ni playing position sidhani kama mou atamtumia hivo pia dogo anakua na impact sana akitokea kushoto kuliko akicheza kama #9

Kwa upande wa jersey inaonekana pia kutakua na baadhi ya mabadiliko kidogo kwa muujibu wa kitbag ( ambao ndio wana run megastore) zlatan anaonekana kuchukua namba ya Martial (9), wakati mata, januzaj, depay na morgan wakabadilishiwa jersey namba.
 
Wakuu naona mnafanya usajili motomoto kweli msimu huu mmepania ... kila la kheri tukutane ligi ikiianza

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…