Erick Bailley kuwa mchezaji wa kwanza kusainiwa na Mourinho.
Mchezaji huyo anayeichezea Villarreal ya Hispania inasemekana amefudhu vipimo vya afya hapa OT na tayari Man washakubaliana ada ya uhamisho wake ambayo inasemekana kufikia £30 Ml.
#Mou na Spirit ya wachezaji Weusi especially toka Africa#
BACK TANGANYIKA