Manchester United (Red Devils) | Special Thread

everlenk Hongereni humu nilidhani kombe mbuzi ndiyo limeshachoropoka lakini bado mnapumua. Kuna uwezekano wa kubana nonino leo kaa mkao wa kubana lol! Nimecheka kumuona kocha wa CP akidance baada ya wa kufunga, mpira raha sana aisee dah! Unaweza kabisa ukajisahau kwa furaha ya goli lakini kiboko yao ni yule Klopp.
 
Everlenk kuja hapa mtani,upooo mbona umepoa hivyo wakati kombe linaenda kwenu .....
 
Yaani hapa nimebana inakaribia kuvimba acha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…