Kitu kimoja namsifu LVG ni ujio wa hawa madogo....RASH,LINDGARD,MARTIAL,BOTHWICK,VARELA,MENSAH kwa kweli miaka mitatu ijayo hii timu itakuwa balaa! Carrick tu ndio anapandisha average age ya timu.
Yaah Morgan anaenda kutibiwa nje chama anamsubiri penye chaki ila mipira ile hawa vijana hawaiwezi undava mtupu kulikuwa na daud salum(Bruce Lee)salum kabunda(ninja)sasa ninja na Bruce Lee penye soka wapi na wapi?
Yaah Morgan anaenda kutibiwa nje chama anamsubiri penye chaki ila mipira ile hawa vijana hawaiwezi undava mtupu kulikuwa na daud salum(Bruce Lee)salum kabunda(ninja)sasa ninja na Bruce Lee penye soka wapi na wapi?
1- Man Utd vs Liverpool 3-1
2- Man utd vs Man City 0-0
3- Man utd VS Chelsea 0-0
3- Arsenal vs Man utd 3-0
5- Liverpool vs Man utd 0-1
6- Man utd vs Arsenal 3-2
7- Chelsea vs Man utd 1-1
8- Man city vs Man Utd 0-1
Mechi yake ya kwanza Europa alifunga, mechi yake ya kwanza ya ligi alifunga, derby yake ya kwanza pia kafunga and become the youngest player kufunga kwenye derby ya Manchester, THE FUTURE IS BRIGHT
Mechi yake ya kwanza Europa alifunga, mechi yake ya kwanza ya ligi alifunga, derby yake ya kwanza pia kafunga and become the youngest player kufunga kwenye derby ya Manchester, THE FUTURE IS BRIGHT