Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi kumbe nafasi ya 5 kwenye ligi yenye timu 20 ni mid table? Mh! Hii ni namna ya hisabati mpya?!?
Kwa upande mwingine, epukeeni 'boosters' muwe na akiba ya maneno jamani..
Keyboard warrior nakuona unapambana... Kama juha hivi
 
Kawaida ya barca amkimchapa arsenane timu nzima inavurugika wanarudi kusaka nafasi ya nne as usually
 
Goli 7 hapana....any win if 1-0,2-1, 3-1

muhimu ni defeat inakuja ileee
 
Kawaida ya barca amkimchapa arsenane timu nzima inavurugika wanarudi kusaka nafasi ya nne as usually
Kawaida ya wapi na lini mpwa kua Arsenal anafungwa na Barca alafu anavurugika?usilete nadharia njoo na habari yenye ushahidi mambo ya kupiga ramli usituletee.
 
sijawahi kuona kocha anapewa mpera mpera katika SOCIAL MEDIA na Media House uingereza kama LVG nadhani hii ni zaidi ya ile ya David MOYES

Huyu mzee sijui kama analala afu usingizi unakuja

Kuna presha ya hatari sana wiki hii mpaka next week nadhani LVG itakuwa Bye bye....

Media zinaplay part kubwa katika Sacking pressure ya LVG
 
Media zingekuwa zina play part kubwa, Arsene Chenga angekuwa ameshasahaulika.

Unaweza kuhisi LvG anakosa usingizi, kumbe mwenzio anachekelea tu huku akielekea benki. Media zinamsimanga wewe, lakini mpunga anavuta..
 
#GGMU - - - - Gongwa Gongwa Man Utd. hahahahahahahahahahahahaha
Media zingekuwa zina play part kubwa, Arsene Chenga angekuwa ameshasahaulika.
Unaweza kuhisi LvG anakosa usingizi, kumbe mwenzio anachekelea tu huku akielekea benki. Media zinamsimanga wewe, lakini mpunga anavuta..

Manager Louis van Gaal will be sacked if his Manchester United side lose to Shrewsbury in the FA Cup on Monday.

And Jose Mourinho has rejected the chance to rejoin Inter Milan, because his heart is set on taking over at Manchester United.
Link Gossip column: Van Gaal, Mourinho, Mahrez, Rooney, Terry

Media za UK? Muulize Mpayukaji Mou.
 
Reporter: "Is Mourinho returning to inter?"
Inter director Bedy Moratti: "No, he's happy now he's going to United"

@welcomemourinho

bring in the winning machine to boost players morale...he is the only shortcut solution right now for renewal our winning streak...


sasa wanasubiri mechi tatu hizo ili kuprove nini...kwamba kwa mechi tatu hizo LVG au benchi lake la ufundi na wachezaji watabadirika...!!! LVG kaishafika mwisho, mipango yake imegoma sio mbaya kumpa timu mtu mwingine na hii haimanishi ni manager mbaya hapana sema approach aliyokuja nayo MUFC imegoma kuwork out sometimes managing a team is like gambling ukipatia unabutua ukikosea ndio hivyo lawama zote zinakuangukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…