Hilo la kuwa kama Liverpool ni ngumu chifu. Kilichowaponza Liverpool ni 'umaskini'. Mpira wa sasa ni pesa tu: kwa kutumia pesa unaweza 'kununua' ubingwa. Kama walivyofanya Rent Boys na Man Shitty. Unanunua wachezaji walioiva tayari, unawatafutia na kocha mzuri.
Angalia returns za maamuzi yao, kisha useme tena ulichokisema. Ni sawa na returns za Real Madrid ukilinganisha na maamuzi na walivyowekeza.
Sidhani kama kuna lolote la kujifunza au kujilaumu hapo. Ingawa, ni ukweli kwamba nyakati zingine United uchelewa kufanya maamuzi. Na nyakati zingine wanakuwa na sababu za msingi. Kufanya maamuzi kwa umakini na busara ni vyema kuliko kukurupuka kutokana na mihemuko ya mashabiki au namna timu pinzani zinavyofanya.
kwengineko
36'
Arsenal 0 - 0
Southampton
37'
Leicester City 0 - 0
Liverpool
36'
Norwich City 0 - 2
Tottenham Hotspur
37'
Sunderland 0 - 1
Manchester City
36'
West Ham United 0 - 0
Aston Villa
21'
Crystal Palace 0 - 0
AFC Bournemouth
22'
Manchester United 1 - 0
Stoke City
21'
West Bromwich Albion 0 - 0
Swansea City