Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Mkuu Charlie Nicholas ni Pundit hajawahi kuwa Kocha, hajui ugumu wa kumanage Club kubwa....

kuna tofauti kubwa sana ya kuongea kwenye TV na kuwa Kocha live unaona ugumu wake.....

Garry Neville toka ajiunge Valencia HAJASHINDA GAME hata moja katika Game 5 alizokuwa kocha....ila alivyokuwa Pundit alikuwa anaona RAHISI SANA....teh teh teh teh

saivi nae wanamfanyia Analysis na akizidi kuboronga wata MFIRE arudi kwenye Upandit...
 
Facts za uwanjani zinaonesha man utd sasa hivi iko vibaya kuliko wakati wa d. moyes hasa ukitilia maanani kiwango cha pesa kilichotumika. maneno haya[facts] hizi zikiongelewa na fergie au pundit yeyote hazibadiliki.
 
LVG is a joker.....
 
Facts za uwanjani zinaonesha man utd sasa hivi iko vibaya kuliko wakati wa d. moyes hasa ukitilia maanani kiwango cha pesa kilichotumika. maneno haya[facts] hizi zikiongelewa na fergie au pundit yeyote hazibadiliki.

RRONDO

huyo Charlie ndo anasema January arsenal wamnunua Carrick akazibe kwa Fransic Coquelin, huyo nae ni wonker....

lazima iwe hivi kwani mmetumia pesa nyingi in two years na kujaza wachezaji wengi sana....

Ina mgharimu sana LVG mambo makuu mawili hii Transfer fund aliyotumia, pili wingi wa Sura mpya unaifanya timu ikose Stability maana game zenu KOCHA MPAKA SASA hana First XI kabisa kwa kumtizama

tujue kuwa kununua Wachezaji wengi katika Dirisha moja mara zote HU BACK FIRE maana mpaka wanakuja Kujel msimu ushawaacha

wachezaji ukinunua usizidishe watatu wa kikosi cha kwanza vinginevyo Instability itakukumba, kuna mwaka QPR walinunua 11 players tena wa maana lakini Walishuka Daraja, spurs walipomuuza Bale walifidia na 8 players mpaka sasa aliyetoboa ni Bentaleb, Lamela na Enrikssen watano wameflop hatari, Liverpool wamefanya haya maujinga ya kununua msururu wa wa wachezaji lakini hakuna cha maana

mi naona kujaza Sura mpya nyingi ni SABABU MOJA YA MSINGI mnakosa instability, wachezaji bado hawajazoeana, hakuna Combination baina yao....

suala la kujaza LVG na Bodi ya man utd wote Wanachukua lawama hii....
 
Facts za uwanjani zinaonesha man utd sasa hivi iko vibaya kuliko wakati wa d. moyes hasa ukitilia maanani kiwango cha pesa kilichotumika. maneno haya[facts] hizi zikiongelewa na fergie au pundit yeyote hazibadiliki.

Kama sikosei na wewe ulikuwa unalilia Moyes afukuzwe kazi. Sasa hivi unataka LVG pia afukuzwe, baada ya hapo utataka Giggs atimuliwe. Hili ndilo litakuwa tatizo lenu, mnadhani mtapata mtu mwingine kama Sir Alex haraka haraka. Makocha wa siku hizi kina Mourinho, Pep ni makocha wasiokaa sana katika timu moja kwa muda mrefu(historia yao inaonyesha) kama kina Sir Alex na Wenger .
 
Eeeeh Mwenyezi Mungu mweza wa yote tunaomba utunusuru cc mashabiki was Mwanitesa Utd tumechoka kudharaurika....tunaomba tuanze mwaka kwa ushindi
Amen
 

Karibu tena jukwaani,LVG kuna mambo akiyafanya still anaweza kupata matokeo mazuri.Mwanzo alidhani kazi ya kufundisha Manchester United itakuwa nyepesi kama huko alikopita but now amekubali kazi ni ngumu
 

Umenishawishi Mkuuwangu.
 
Naona umeongea kwa kutia huruma baada ya mjadala wa vikombe vya UCL kuletwa...

Hahahaha mkuu kumbe upo nilidhani safisha safisha siku ya usafi ya Magufuli ilikukimbiza mji. Kuna siku mtakubali nachosema. Nakumbuka mwanzoni msimu huu mlikuwa na matumaini makubwa ya kufika mbali UCL badala yake mumewakatia denge kina Thursday Football Spurs, Liverpool. Subirini mtaendelea kuona wengine tukikipiga Tuesday na Wednesday Football.
 
Liv na whu mbili bila dk 57 benteke kilaza naona anakosa nafas za waz
 
Siku iz wana jamvi Wa man u wenzangu naona apa panakuwa pachungu baada ya tm kuboronga
Msijal ni kipindi cha mpito tuu tutakuwa sawa
 
Sijui leo jinamizi la kufungwa litakosea njia??? Wadau mlioko kwa kioo mtupe updates pliz hatuna namna nyingine kwa kweli!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…