Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Hapo ndipo naamini LvG anakumbana na upinzani....mwanzoni mwa msimu alikuwa akiwapanga hawa wachezaji, na matokeo yalikuwa mazuri...ila alipoanza tu kuvuruga timu na kubana uhuru wa wachezaji, mambo yakaenda kombo....kama ataendelea kubaki hadi mwisho wa msimu, nafikiri bodi inabidi ijadili naye upya juu ya philosophy yake, hususani katika kuwabana wachezaji...wachezaji kama Mata, Rooney, Herrera na Martial wanapenda kucheza huru uwanjani, na siyo ku-stick kwenye positions zao kama vile watoto wa miaka 5 wanaojifunza kucheza soka...
Dogo Martial ni balaa...yaani huyu mtu akipata striker atakayetengeneza naye partnership nzuri, huku Herrera na Mata waki-supply passes, hatashikika...yaani dogo ni bargain kabisa, Monaco inabidi wadai pesa zaidi...
Kuna kauzembe kidogo kalitaka kufanywa na baadhi ya viungo wa Chelsea kitu ambacho kilifanya huyu Martial kuonekana lkn baada ya kulifanyia hilo kz Martial hakua tena msumbufu!
Vipi? Rooney alistahili kadi gani kwa kumchezea Oscar faulo?
Au ngoja nimuite mchambuzi wa soccer wa Jf @Nonda njoo huku!