Timu zangu nimezitaja, hii uliyonichagulia siitambui...uliza "shembby" ako atakupa orodha ya timu zangu.
Nilimuomba anifungulie majukwaa ya timu hizo lakini yuko bizee.
Hahahahaaaa Mkuu we acha tu..... Huyo jamaa yeye na Chelsea tuuuu hana timu ingine ya kuikosoa au kuishambulia Zaidi ya Chelsea tu...... Sasa nikaona aje huku alete uchambuzi wake huku.......
Defence yetu ya Leo sio UA uhakika badala ya kumuanzisha Morgan akasaidie kuharibu mipango anamuweka fellain?
Mzuka wa kuangalia mechi umeshakata aisee dah
Defence yetu ya Leo sio UA uhakika badala ya kumuanzisha Morgan akasaidie kuharibu mipango anamuweka fellain?
Mzuka wa kuangalia mechi umeshakata aisee dah