Eee Mungu muumba mbingu na nchi Man City wameloose tusaidie sisi tuwin na tuwe pale juu, msaidie Van Gaal achezeshe karata zake vyema, watie nguvu wachezaji wetu wacheze kufa na kupona na wape uwezo wa kufunga magoli mengi ni Point tatu tu tunahitaji, Naamini yote katika jina lako Ameeen, watu wote tuseme Amen......#GGMU