Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata mimi nimeona hilo. Deepay au Carrick au wote watoke waingie Bastian na Herrera.

Ningekuwa mimi, ningewatoa Carrick na Rooney na kuwaingiza Bastian na Herrera. Kisha Young anachukua nafasi ya Depay.

Herrera anapiga 10 huku akibadilishana na Mata.
 
Depayyyyyyyy

nisaidie kumuita cute b

Thank you shemeji....

Leo sijui kafichwa wapi binti huyu nimemsaka kila mahali lakini holaa hapa nimetuma makamandoo wangu wamsake kila mahali.... cute b weeeeee shemeji kafanya mambo huku.....

Senkyuu shemeji Depay, wapi cute b???

Woyooooooooooooooo........my baby depay thank yuu so much......duuuuuuuuuuuuh hurereeeeeeeeeeeeeeee.
Wakuu nipo sema mjue nini...leo jumamosi afu dizain kama mrs depay ni flower kwenye hiyo harusi ila pamoja sana..
 
Last edited by a moderator:
Woyooooooooooooooo........my baby depay thank yuu so much......duuuuuuuuuuuuh hurereeeeeeeeeeeeeeee.
Wakuu nipo sema mjue nini...leo jumamosi afu dizain kama mrs depay ni flower kwenye hiyo harusi ila pamoja sana..

Aiseeee!!!! Bora maana nilikonda ghafla uliponipotea........
 

Ameeeeen...
#GGGMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…