Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Van Gaal anamlea vibaya mtoto wake wa Kidachi, alistahili Sub mapema tuu. Naanza kukosa imani na LvG japo ni mapema kusema hivi
 
BREAKING: Shaw has completed his
surgery. It is believed it was a 'clean
break'. Could be back before end of the
season. [mark ogden]
#MUFC
we will miss you shaw.
 

Anaweza kuwa sio pure holding but kwa game ya jana ndio ilimfaa kutokana na experience yake ya UEFA na umri.
Carrick na Morgan hawa wanafanana sana wazuri sana kwenye defence but sio wazuri kwenye kushambulia but Bastian ni mzuri kushambulia.
Kwa mtazamo wangu Bastian anafaa aanze game za Champions League kuliko za EPL(EPL kuna kasi yeye yuko slow) ,Morgan aanze EPL ana kasi na ligi kaizoea
tatizo kubwa la Man United lipo kwenye kutengeneza nafasi na kufunga sio kudefend
(Mata,Young,Depay,Bastian,Fellaini,Hererra ) hawatengenezi nafasi na kufunga magoli,game karibia zote tumeshindwa kuzimaliza wenyewe
 
Nonda ananijua vzr Yule nenda ukaona km anatawala jukwaa letu tena.... Yani nikumsasambua kwa nguvu km nguvu ya Ukawa.....

Jana ball possession ilikuwa ngapi? Na kona ngapi mlipata?

Unasemaje?
 

Attachments

  • 1442398596586.jpg
    19.4 KB · Views: 135
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…