Manchester United (Red Devils) | Special Thread

HUYU refa wa kidwanzi sana rafu kama ya luke shaw yule jamaa wa psv alikuwa anakula umeme(red) sasa chenyew kinaangalia nakuanza kuruka ruka tuu!rafu nying kinaacha tuu.. hapa ndipo napo mmiss rooney angekifokea balaa sasa humo ndan yumo capten mpole sana...
 

Msiondoke bana komaeni bana Mbona Rojo mzuri tu atarekebisha fresh, upone haraka Shaw......
 
Dogo Shaw amekuwa ni mmoja wa wachezaji walioanza msimu vizuri sana. Sasa yawezekana akakosa msimu wote, kama kweli kavunjika mguu.

Atakuwa kavunjika vibaya, mkuu. Uliona beki wa PSV alivyo-react kwa kukimbilia mbali hakutaka kuona yaliyotokea. Kama kurudi itakuwa kati ya jan-april.
 
Nimepoteza kabisa hamu ya hii game

Nimeangalia clip ya huo mguu youtube its terrible...

haijakaa pia naona wameitoa tayari

BTSport wanasema ni suspected broken leg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…