Manchester United striker Javier Hernandez has joined
Bayer Leverkusen in a £12million deal.
Yah nipo naona van gaal ameanza kuwa kama mzee wenu, tuna anangalia timu kwa stress hatuna uhakika hata tukiongoza,
Van Gaal analeta uzee na misimamo ya kijinga.
Amepewa pesa ya kutosha anashindwa nini kusajili wachezaji wa maana?
Team naweza kusema ni mbovu sehemu zote ila jamaa analazimisha wachezaji wabovu wacheze.
Rooney angeuzwa badala ya Chicharito. He is a flop.
Tuna michuano mingi tunashiriki, nadhani tutatia aibu vibaya sana.
I agree with you but the main problem of Man United is striker (We don't score goals to finish the game) Even Barca don't have best defence but they have strike force to finish the game
Haya mama
View attachment 282402
naona toka amekuja van gaal tumekuwa academy tunatoa tu vipaji, januzaj anaenda kwa mkopo Dortmund
Haya mama
View attachment 282402
naona toka amekuja van gaal tumekuwa academy tunatoa tu vipaji, januzaj anaenda kwa mkopo Dortmund
Yerewiiiiiiiiiiiiii wanakimbia zombie
Level za Fargie huyu LVG hajafika kabisa... Academy product zote anaziuza wakati mwenzie Alikuwa anatesa na hao hao....kusema ukweli huyu mzee anaipoteza philosophy na transfer policy ya club. Mpka sasa ameshanunua zaidi ya nusu Xi eleven yake....still bado mapungufu yapo.naona toka amekuja van gaal tumekuwa academy tunatoa tu vipaji, januzaj anaenda kwa mkopo Dortmund
Speechless. ........nimepoteza kama masaa 2 hivi nikiangalia video za huyu Dogo,ni mzuri lakini si kwa uwekezaji wa leo labda kesho anahitaji muda zaidi wa kuzoea fitina za EPL anaweza kuwa siyo jibu la tatizo letu kwa sasa......sijui lakini anaweza kuniprove wrong.....
Welcome Anthony Martial
Daaah Pauni 36M kwa 19yrs old
Kwa maana hiyo unataka kusema tutakuwa ready kusubiri huyu Dogo Aimproved akiwa Man U....Je vipi kuhusu wakina Welbeck....Chicharito.....na wengine ambao walihitaji muda huoSpeechless. ........nimepoteza kama masaa 2 hivi nikiangalia video za huyu Dogo,ni mzuri lakini si kwa uwekezaji wa leo labda kesho anahitaji muda zaidi wa kuzoea fitina za EPL anaweza kuwa siyo jibu la tatizo letu kwa sasa......sijui lakini anaweza kuniprove wrong.....
Duh mwenzio nikiangalia nafasi ya kipa moyo unakwenda mbio sijui ni kwanni Romeo simwamini kabisa.