~Sport claim Pedro's move to MUFC
is almost done (28m+4m add-ons)
and preparations for his farewell
are underway.
~ Sport say that Pedro's deal at Man
United will be for five years and he
will earn 5m-a-year net. Pedro
only waiting for deal between clubs.
~ And yes; Cadena Ser spoke with
Pedro's youth coach who had
spoken to Pedro's mother who had
said Pedro will play in England next
season.
nakuelewa kaka na nimependa unaonesha una uchungu na timu bravo mkuu
but case ya di maria kwangu ts obvious van gaal hajaihandle inavyotakiwa naamini kama angemuonesha kias gani anamuhtaj tungebenefit from that ila kinachotucost ni hyo altitude ya mjivuni van gaal
kuhusu furure ya de gea kua uncertain kwangu mimi either way was big mistake kumuachia valdez cause romero is not on his class
kuhusu loris acha totenham watupige but tungejitoa akili na kumwaga mpunga besides mtu kama begovic au yule kipa wa uholanz was better choices than romero
kuhusu romero take my word cheap is expensive ngoja ligi ianze na apate chance ya kucheza
naungana na wewe ingekuwa nipo kwenye position ya kufanya maamuz man u kwa upande wa kipa ningemchukua cech wa chelsea ningemuuza ddg kwa rm anakokupenda. Nahs ingekuwa biashara nzur na yenye faida na ambayo isinge2gharimu
Ángel Di María will have a medical at Paris Saint-Germain in the next 24 hours. (Source: BBC Sport)
wazee wa matuid mpoooo nilipita kuwasalimia maana mnapanga full mkoko ila ft result ni 2:0 kweli psg noma
Wewe nawe baada ya kipigo chetu cha tatu moja ulikuwa kimya leo ndo umefufuka? ...........
Yule Mata kule upande wa kulia me naona anampa shida tu otherwiz ukute herrera nae ameanza ndo uwa anacheza vizuri, lakini kwa hii stly ya kuwapanga Morgan na Carrick kwa pamoja uku no.10 anakuwa depay Mata atakuwa anakimbiakimbia tu uwanjani, ile nafasi ya Mata itamfit Pedro vizuri na pale kwa depay kutamfit mata vizuri, na pale kwa young akacheze depay, young ataitajika pale fellaini atakapo kuwa ndani, kwa game na timu kama West Ham, Crystal Palace
Hahahhaha mfa maji
Hivi Arse8 na Man U nani mfa maji?....Miaka kibao bila ya EPL tittle wala UCL ndo kabisaaa?
Mavi ya kale hayanuki
Unachekesha sana nyie ndo mavi ya kale....😀😀😀😀.....naona mmeanza safari ya matumaini mwaka huu ya kuchukua EPL.....dohh!! Mtoto wangu ataoa bado Arsenal kuchukua tittle hiyo.
Unachekesha sana nyie ndo mavi ya kale....😀😀😀😀.....naona mmeanza safari ya matumaini mwaka huu ya kuchukua EPL.....dohh!! Mtoto wangu ataoa bado Arsenal kuchukua tittle hiyo.
Hahaha kila la heri aisee!! Mshinde tu tupunguze idadi ya vifo vya wanaojinyonga........niambie kaka Shefwaa mnashinda leo? Mkishinda nialike kule Chelsea tucheze kigodoro .........
Team yangu iko vzuri, baada ya mechi nitakuita kule.
Sasa ni utangulizi kwnza wa Azam