Mkuu tambua kuwa Di Maria anataka kuondoka mwenyewe na sio club au manager anayemfukuzisha....mimi mwenyewe sipendi huyu jamaa aondoke lakini hatuna budi kukubaliana na matokeo.
Kuhusu suala la kipa De Gea future yake bado ni uncertain mpaka sasa na kupata kipa mzuri kariba ya De Gea haraka haraka ni ngumu...chukulia mfano Labda tumuhitaji Hugo Lloris pindi De Gea ikatokea ameenda RM..... Totenham kwakujua shida yetu hawatakubali kumwachia kirahisi na ilitokea wakamwachia si fedha ndogo utakuja jikuta umepigwa pesa ndefu
Sergio Romeo kaja free hakuna chakupoteza..... kwasasa LVG asajili CB ukizingatia na formation atakayoitumia mara nyingi ni 4-3-3....(
Manchester United Official Web Site itatuexpose sana kama backline itaendelea kuwa ya kusuasua