Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

3beab68be16e1a6e2e7c5122c22c08d2.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Bavaria naona umedhamiria kujaza posts...!

Kuna mdau hapo juu ameandika anashangaa kumuuza Di Maria na kumnunua Memphis akaitwa hater!

Hata mimi nikiri bado sijaielewa hiyo biashara...
 
Last edited by a moderator:
Bavaria naona umedhamiria kujaza posts...!

Kuna mdau hapo juu ameandika anashangaa kumuuza Di Maria na kumnunua Memphis akaitwa hater!

Hata mimi nikiri bado sijaielewa hiyo biashara...

Nadhani family problems ndo zinampelekesha Di Maria and LVG has seen that.
Nimesoma articles nyingi kuhusu kuondoka kwa Di Maria, inasemekana mkewe ndo anampush out of concetration in soccer.
On a serious note: Memphis anaweza kuchezeshwa kama winger mshambuliaji na Di Maria alikuwa kiungo naturally.
Ukizingatia United tuna viungo wachezeshaji wengi basi ni vyema ku-trade off something good for something better.
 
Last edited by a moderator:
Umeongea kama jerry muro akishakunywaga Konyagi , akuna kitu cha maana ulichoongea hapo zaidi ya chuki tu na United #GGMU


Shabiki wa man utd anakuaje chuki na timu yake labda?

kwa usajili huu wa huyu babu yetu hatuna chetu do the math otherwise kajambe ulale
 
Mkuu tambua kuwa Di Maria anataka kuondoka mwenyewe na sio club au manager anayemfukuzisha....mimi mwenyewe sipendi huyu jamaa aondoke lakini hatuna budi kukubaliana na matokeo.
Kuhusu suala la kipa De Gea future yake bado ni uncertain mpaka sasa na kupata kipa mzuri kariba ya De Gea haraka haraka ni ngumu...chukulia mfano Labda tumuhitaji Hugo Lloris pindi De Gea ikatokea ameenda RM..... Totenham kwakujua shida yetu hawatakubali kumwachia kirahisi na ilitokea wakamwachia si fedha ndogo utakuja jikuta umepigwa pesa ndefu
Sergio Romeo kaja free hakuna chakupoteza..... kwasasa LVG asajili CB ukizingatia na formation atakayoitumia mara nyingi ni 4-3-3....(Manchester United Official Web Site itatuexpose sana kama backline itaendelea kuwa ya kusuasua

nakuelewa kaka na nimependa unaonesha una uchungu na timu bravo mkuu
but case ya di maria kwangu ts obvious van gaal hajaihandle inavyotakiwa naamini kama angemuonesha kias gani anamuhtaj tungebenefit from that ila kinachotucost ni hyo altitude ya mjivuni van gaal

kuhusu furure ya de gea kua uncertain kwangu mimi either way was big mistake kumuachia valdez cause romero is not on his class
kuhusu loris acha totenham watupige but tungejitoa akili na kumwaga mpunga besides mtu kama begovic au yule kipa wa uholanz was better choices than romero

kuhusu romero take my word cheap is expensive ngoja ligi ianze na apate chance ya kucheza
 
Back
Top Bottom