Sure ila nafikiri unaikumbuka leistercity vizur...current season zile 5 sasa ukuanza kutoa dozi anza na hao kina leistercity
Man u inafoward gan ya kusisimua pale mbele?? Falcao?? Bastian?? Rooney the tehe aaaanh zile new sinnings kiungo gan hiyo.... Hakuna kitu inauma kama kuinject input kuuuubwa af output yake finyu
Tatizo una hoja zisizo na mashiko.
Basi umekurupuka tuu huko na kuanza kubwabwaja point less.
Ukija kubisha kitu tumia fact na reference otherwise itakuwa ni mipasho tuu.
TWENDE SASA KWA MWENDO WA FACT NA EVIDENCE.
kwa nini man u unaiona saivi hamna kitu??
Umeonaaa eeeh? Kuna wanaume humu nina wasiwasi na uanaume wao haki ya nani!!!............wacha wachonge sisi kama kawaida tutaongea na mpira,msimu uliopita walianza hivihivi Mara nafasi yenu ni ya 12,Mara 10 Mara 7 sisi tukasonga tu pamoja na udhaifu wote sembuse sasa watajibeba!!!!!!
Bado unamhesabia Falcao ni wetu???? .........halafu nikuambie tu huku hela si mawazo poteza hela pata hela ,tunatumia hela maana tulizitafuta hela na tutazichanga tena........huna hoja yenye mashiko bro!!!!!!
fact zipi unataka Kwamba mlikula 5 toka kwa leistercity au aje yani kwamba mmemaliza msimu mkigombea big four?? Kwamba mlisajili forward kwa mkopo tangu mwanzo adi mwisho wa msimu alifunga bao moja?? Yan fact zip?? Sijaelewa
Umeonaaa eeeh? Kuna wanaume humu nina wasiwasi na uanaume wao haki ya nani!!!............wacha wachonge sisi kama kawaida tutaongea na mpira,msimu uliopita walianza hivihivi Mara nafasi yenu ni ya 12,Mara 10 Mara 7 sisi tukasonga tu pamoja na udhaifu wote sembuse sasa watajibeba!!!!!!
Man u inafoward gan ya kusisimua pale mbele?? Falcao?? Bastian?? Rooney the tehe aaaanh zile new sinnings kiungo gan hiyo.... Hakuna kitu inauma kama kuinject input kuuuubwa af output yake finyu
fact zipi unataka Kwamba mlikula 5 toka kwa leistercity au aje yani kwamba mmemaliza msimu mkigombea big four?? Kwamba mlisajili forward kwa mkopo tangu mwanzo adi mwisho wa msimu alifunga bao moja?? Yan fact zip?? Sijaelewa
Hivi Falcao ni Man U pamemshinda au yeye ndo pamemshindwa?
Ila jamaa tatizo sio Man U tatizo ni majeraha maana yalimsabibisha ku-flop kuanzia Monaco na hakuwa tena the same Falcao wa Atleti
Acha ubishi wa Facebook... ila sio mbay post count =32 karibu mgeni
ila huku ni tofauti na Facebook ukisema no then u hv to expain why...
Waulize wenzako wanaoipenda man u kweli toka moyoni how top feels better than the bottom... Wanajipa moyo tu ila wanajua wazi khali ni mbaya... Kushinda game za kirafiki si sheeedah nakumba last season alianza kwa kushida ya pale USA ila mwishowe??? Kwikwikwi .... Ni nipo hapa
Bado unamhesabia Falcao ni wetu???? .........halafu nikuambie tu huku hela si mawazo poteza hela pata hela ,tunatumia hela maana tulizitafuta hela na tutazichanga tena........huna hoja yenye mashiko bro!!!!!!
kwani we mshabiki wa timu gani? kwani mechi ina matokeo mangapi? acha uboya wewe subirieni tu
Hoja yenye nashiko ni IPI bro???
Mkuu nakushauri pita hivifact zipi unataka Kwamba mlikula 5 toka kwa leistercity au aje yani kwamba mmemaliza msimu mkigombea big four?? Kwamba mlisajili forward kwa mkopo tangu mwanzo adi mwisho wa msimu alifunga bao moja?? Yan fact zip?? Sijaelewa