Bayern agree Vidal fee with Juventus - Goal.com
Man Utd sign Bastian Schweinsteiger from Bayern Munich - ESPN FC
hivi £28m na £14 ipi kubwa??
28yrs old na 30yrs old kwa £14 na £28 hapo deal nzuri ipi??
Mbona Carrick 33 anapambana vuzuri na Matic?sasa mkuu miaka 30 na 28 ni sawa?! ........... huyo wa 30 mpaka january ataanza kutembelea mkongojo. ataweza kubattle na damu changa kina Matic. Kubali mmeuziwa famba.
sasa mkuu miaka 30 na 28 ni sawa?! ........... huyo wa 30 mpaka january ataanza kutembelea mkongojo. ataweza kubattle na damu changa kina Matic. Kubali mmeuziwa famba.
nicolas otamendi left out of valencia kit launch.. Who can guess anaenda wap?
hapa ni sawa unaniulliza miaka 17-19 ni sawa?? kwa namba sio sawa...ila physically most likely ni sawa. miaka 28-30 tofauti ni namba tu. ungeniambia 25 na 30 ningekwambia ni tofauti sana.
28yrs old kwa £28m na 30yrs kwa £14m ipi good deal hapo?? honestly.....
Mbona Carrick 33 anapambana vuzuri na Matic?
sasa mkuu miaka 30 na 28 ni sawa?!
naona umemsahau pirlo 36
kwanza hata sio 30 bado wiki 1 tu afikishe 31 .......
He's 31 in a couple of weeks - is too
old for Manchester United signing Bastian
Schweinsteiger to adjust to English
football.
Goal.com
sasa mkuu miaka 30 na 28 ni sawa?!
naona umemsahau pirlo 36
Mlivyowasajili Etoo,Drogba walikuwa na miaka mingapi?
Pirlo,Carick,Xavi,Alonso wana miaka mingapi?
Last season tulikuwa na Carick tu kwenye hiyo namba now tuna Carick +Morgan+Bastian
kwanza hata sio 30 bado wiki 1 tu afikishe 31 .......
He's 31 in a couple of weeks - is too
old for Manchester United signing Bastian
Schweinsteiger to adjust to English
football.
Goal.com
kwanza hata sio 30 bado wiki 1 tu afikishe 31 .......
He's 31 in a couple of weeks - is too
old for Manchester United signing Bastian
Schweinsteiger to adjust to English
football.
Goal.com
amepambana na matic wapi akamueza?!' ........... atafanikiwa labda kwa kina Mk dons.
sasa mkuu miaka 30 na 28 ni sawa?!
naona umemsahau pirlo 36
Pirlo yupo New York City ........... kama manure nayo ni new york city!' sawa. Vibabu vyote vinaenda kumalizia mpira Marekani, huyo kaja kuumalizia hapo.
Ndugu Mbona hueleweki unachokitaka?.....kumbe unazungumza according to goal.com mimi nilidhani ni maoni yako binafsi hao wanahaki ya kuandika hivyo unafikiri watafanya vipi biashara zao!!! ..... Tafadhali namba ya umri si kigezo kikubwa utendaji wake wa kazi hata angekuwa na 50, Mbona kwa Drogba hukulia juu ya umri wake na hukumkosoa manager wako?Mbona kwa Falcao hamlalamiki mnasema ni chaguo sahihi? Halafu wewe siyo Mungu umpangie kwamba by January atakuwa amechoka unapata wapi mamlaka hayo ya kuhukumu hivyo,embu tuondolee mikosi yako hapo......siyo siri usajili wa sasa unawauma sana.....mtabadilisha tu maneno from flopy to Old sisi tunasonga Mbele........#GGMU
Kama umri ndio kigezo vp kuhusu Terry anaweza kubattle na forward kama Kun 16 ???tulisajili kama backup!' sio kama nyie mnavyotaamba kwa kumnunua kibabu tegemeo!' .........hao wote wameshatemwa kwenye timu zao sababu ya uzee nyie ndio mnakomaa na kununua wazee sijui Manure nayo imekua New york redbull.
Hey guys hi
Nipo hapa Man U Fan kitambo sana sijatembelea humu ndani, Nipokeeni tafadhari.
BACK TANGANYIKA