Kama walivyosema wadau...United is on the losing end. De Gea kabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba; na kibaya zaidi yeye anataka kuondoka sasa. Kama United wakitilia ngumu sasa, ina maana mwakani ataondoka bure.
Hapa la msingi ni kuhakikisha Edo na timu yake wanacheza karata zao vizuri, ili deal liwe angalau win-win kwa wote.