Hahahaha!! Ila fans wa LFC mnajua kuvumilia tolerance limit yenu iko juu imezidi 100% kama ni uvumilivu wa ndoa mwauweza, sikutegemea mpaka sasa BR aendelee kushikilia makashabra ya Anfield ingelikuwa OT fans wake kungechafuka vibaya sana siku nyingi angebebeshwa virago vyake.