Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kutoka katika vilindi vya moyo wangu huyu dogo simtaki kabisa aaa yaani kwa mfano ikitokea akaja huku yaani maisha yangu kwa United sijui yatakuwaje!!!

Mamy everlenk mambo? Nimekumisi sana.
Leo siku ya michepuko on sport.
Juve vs barca... umejipangajeeee...
Mimi mchepuko wangu juve nauamini sana. Leo lazma mkae
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli tuliwamic saaana fanyeni mpango msimu ujao tucheze na nyie fainali maana nyie hata suo wachoyo
 
Mamy everlenk mambo? Nimekumisi sana.
Leo siku ya michepuko on sport.
Juve vs barca... umejipangajeeee...
Mimi mchepuko wangu juve nauamini sana. Leo lazma mkae

Sijawahi ishangilia barca maisha yangu
 
Last edited by a moderator:
PNC 1 & Aleyn mnaboa kinoma yaani, mbona mnakua malimbukeni kiasi hicho, jifunzeni toka kwa Salamander na wana wengine, tumekubali mpo vizuri na huwa mnatuonea yes, mbona nae chelsea kawapiga mara mbili lakini akina Mentor hawahangaiki majukwaani kwenu.

if am wrong, take me as i'm
 
Last edited by a moderator:
PNC 1 & Aleyn mnaboa kinoma yaani, mbona mnakua malimbukeni kiasi hicho, jifunzeni toka kwa Salamander na wana wengine, tumekubali mpo vizuri na huwa mnatuonea yes, mbona nae chelsea kawapiga mara mbili lakini akina Mentor hawahangaiki majukwaani kwenu.

if am wrong, take me as i'm

herrera mkui tunaheshimu mawazo yako ila kwa leo hebu wacha tufurahke sababu ni miaka minne hatujanyanyua ndoo hvyo kwa leo tuazmishe jukwaa lako mimi Aleyn na wengineo
 
Last edited by a moderator:
PNC 1 & Aleyn mnaboa kinoma yaani, mbona mnakua malimbukeni kiasi hicho, jifunzeni toka kwa Salamander na wana wengine, tumekubali mpo vizuri na huwa mnatuonea yes, mbona nae chelsea kawapiga mara mbili lakini akina Mentor hawahangaiki majukwaani kwenu.

if am wrong, take me as i'm

Mkuu, kwani ukiona unaumia nini, ina maana bado una uchungu mpaka leo!? Kama una uchungu mpaka leo basi soka unalielewa kwa tofauti, mpira ni burudani, ukikosa unacheka na ukipata unacheka!? Ukiona post yangu au PNC 1 sio lazima ucomment, unapita kimya kimya tuu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kwani ukiona unaumia nini, ina maana bado una uchungu mpaka leo!? Kama una uchungu mpaka leo basi soka unalielewa kwa tofauti, mpira ni burudani, ukikosa unacheka na ukipata unacheka!? Ukiona post yangu au PNC 1 sio lazima ucomment, unapita kimya kimya tuu.

ha ha ha ha ha ha hs ha ha ha ha ha ha ha labda bado anatetemeka mpaka leo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom