Kanda Bongo man alikuwa anatesa kimuziki Afrika kwa miondoko ya kwassa kwassa. Ndio kilichobaki anga hizi.
Kanda Bongo man alikuwa anatesa kimuziki Afrika kwa miondoko ya kwassa kwassa. Ndio kilichobaki anga hizi.
kila mtu na staili yake ya maisha, nyie Arsenal mmeamua kuishi bila CHAMPIONS LEAGUE sisi tumeamua kuishi na living history, we got something for the next generation
hata tusipo qualify kucheza CL haina shida maana najua hamna timu toka epl yenye uwezo wa kubeba CL kwa sasa, we got nothing to looseMkuu hatujaamua kuishi bila CL bahati haijatuangukia kama nyie Liverpool na Chelsea (mlibeba UCL kindondokela hivi karibuni). Anyway, naona mnasubiri kujua nani mtacheza naye katika kwalifikesheni ya UCL miezi michache ijayo. Kwa list iliyotoka jana naona mnaweza kupata kibarua kigumu kurudi UCL.
DID YOU KNOW : in 2011 manutd won 2-0 against arsenal in FA CUP 6th round with 7 defenders??
Mkuu hatujaamua kuishi bila CL bahati haijatuangukia kama nyie Liverpool na Chelsea (mlibeba UCL kindondokela hivi karibuni). Anyway, naona mnasubiri kujua nani mtacheza naye katika kwalifikesheni ya UCL miezi michache ijayo. Kwa list iliyotoka jana naona mnaweza kupata kibarua kigumu kurudi UCL.
LvG ask real madrid to include K. Navas in de gea deal. [MARCA]
sio GARETH BALE???!! huyu LVG vipi?!!
bale kuja ni ngumu sana mkuu yupo kwenye mipango ya benitez, katika magolikipa ambao sijawah kuwapenda ni huyu navas na valdes (yes valdes huyu huyu wetu) na kama kweli atakuja nitashindwa kabisa kumwelewa van gaal, kuna makipa wengi na wazuri wanatamani kuja ot, loris anasubiri simu tu ipigwe yupo tayari ku make deal hata leo usiku, leno (leverkusen) ni makipa wanaoweza kutusaidia lakn sio navas wala valdes
Wameshatumikaaa weweee aargh....bale kuja ni ngumu sana mkuu yupo kwenye mipango ya benitez, katika magolikipa ambao sijawah kuwapenda ni huyu navas na valdes (yes valdes huyu huyu wetu) na kama kweli atakuja nitashindwa kabisa kumwelewa van gaal, kuna makipa wengi na wazuri wanatamani kuja ot, loris anasubiri simu tu ipigwe yupo tayari ku make deal hata leo usiku, leno (leverkusen) ni makipa wanaoweza kutusaidia lakn sio navas wala valdes
Wameshatumikaaa weweee aargh....