Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Robin Van Persie agrees to sign for Manchester City. Another betrayal by yours truly Judas


 
AS say manutd are so keen to keep DDG they risk losing him for nothing.

DDG | "we'll see what happens with my future....
i'm on vacation now
 
Mailsport | manutd in box seat to sign morgan schneiderlin from soton for 25m
 
Last edited by a moderator:
Skysport | manutd could draw monaco or lazio in champions league
 
Last edited by a moderator:
That's so lame chief...

Binafsi simlaumu Van Persie. Amezeeka sasa, anatafuta green pasture. Na mbaya zaidi hata uhakika wa namba msimu ujao pale united hatakuwa nao.

Kama kipaji kimekufa basi akatafute pesa. Kama aliweza kuondoka arsenal ambao wamemlea toka akiwa mdogo atashindwaje kuondoka united?
 

hyo ishu ya kwenda man city sio kweli, hyo picha alipiga wakati kaenda kumuona mwanae ambaye yupo academy ya man city
 

hyo ishu ya kwenda man city sio kweli, hyo picha alipiga wakati kaenda kumuona mwanae ambaye yupo academy ya man city

Hiyo picha ni ya kwenye mashindano ya RvP (RvP international tournament) kwa watoto (U9 nafikiri) Ufanyika kila mwaka.

Ndiyo maana nikamwambia rubaman kuwa ile ni lame comment.
 
Last edited by a moderator:
THE SUN
REAL MADRID are convinced they have finally won the battle to land David De Gea for £30million.


Sources close to the player claim the deal for him to leave Manchester United is now virtually done

 
[h=1]2015/16 Season Tickets sell out in record time[/h]Manchester United's 2015/16 Season Tickets have sold out in record time as anticipation builds for the new campaign already
 
DDG tells his team mates "i will return to spain and sign for real madrid [Telegraph]
 
Cjui alipotea njia
 

Attachments

  • 1433257353167.jpg
    68.2 KB · Views: 139
Congratulations to Jesse Lingard, who's been named in England U21s' squad for this summer's European Championship.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…