Binafsi simlaumu Van Persie. Amezeeka sasa, anatafuta green pasture. Na mbaya zaidi hata uhakika wa namba msimu ujao pale united hatakuwa nao.
Kama kipaji kimekufa basi akatafute pesa. Kama aliweza kuondoka arsenal ambao wamemlea toka akiwa mdogo atashindwaje kuondoka united?