Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Wacha weeeee mshukuruni Brackett leo ningekupoteza maana naskia ulikuwa ushakata tamaa umeenda kununua kamba kwa jiran, ila kwa game ya leo tulistahili kushinda mlizidiwa kabisa.
Nimshukuru Blankett kwa lipi? Hii ni mara ya kwanza kutokea ati deflected goal kutoka kwa defender mnaita own goal upuuzi mtupu, inaonyesha jinsi mashabiki #Mburukenge wasioangalia mpira na kazi yao kubwa ni unazi tu. Watch the game and comment fairly. Manure mlicheza kipindi cha kwanza kwa kasi na kubebwa na refa wenu wa siku zote. Gunners wakaamua liwalo na liwe wakaanza kutandaza kandanda ya uhakika toa Carzola na Belerin ingiza Jack na Theo mkawa mnahema hovyo Ramsey kampiga kanzu Degea na kutaka kuweka chuma wavuni mkaponea tundu la sindano ikabidi Gea aondoke maana ile kanzu haikuwa nchezo, ndio kuaga kwake aliona bora aondoke bila nuksi. Mnabakia wazee wa historia tu chacha chubirini huyu refa MD akiondoka ndio imetoka hiyo. khe khe kjhe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ding ... Dong.
Endeleeni kujifariji, last match tuliwakung'uta hapo hapo Old Trashford na hivi tinachubiri kutwaa FA Cup kwa mara ya pili mfululizo .. .. .you will like Gunners Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ding ... Dong!
BTW jipangeni upya na majina mapya kama kina Eqllypsssssssssssssssss et al msimu ujao maana nafahamu mnaona soni kubebwa na mbeleko.