Manchester United (Red Devils) | Special Thread

wadau na wapenzi wa jukwaa hili nawatakieni sikukuu njema ya pasaka, kwani najua tutasherehea vyema baada ya kuzoa point 9 ktk mechi tulizoaminishwa kuwa ni ngumu.
Pole kwao walionyonyolewa manyoya, wajue tu kuwa huu ni mpira wa miguu ambao una matokeo ya aina 3 kushinda, kushindwa ama sare.
Nawape faraja tu kuwa bado wana nafasi ya kujifuta machozi kwenye kakikombe ka FA ikiwa watazichanga karata zao vizuri.
Otherwise nawatakieni PASAKA NJEMA NYOOTE
 
Reactions: Nzi

asante na kwako pia!
 
Lilitaka kulikaribia lile alowafunga man city wazza khabari nyingine

Sawa kabisa mkuu, Rooney jinsi alivyofunga lile bao hata mimi sikutarajia. Kweli ule ni mguu halisi wa Shetani mwekundu.
 
Mkuu unaongeleaje magoli aliyofungwa Degea katika hizi mechi mbili tukianzia na lile la Sturridge pale Anfield na la Benteke leo hii.
 
Reactions: Nzi
Mkuu unaongeleaje magoli aliyofungwa Degea katika hizi mechi mbili tukianzia na lile la Sturridge pale Anfield na la Benteke leo hii.

Bao la sturidge ni la kiufundi coz ilikuwa vigumu kubana engo zote! Lile la benteke de gea anamatatizo ya macho na pale jua linawaka isingekuwa rahisi kuuona mpira! Hata hivyo ametuokoa sana msimu huu
 
Mkuu unaongeleaje magoli aliyofungwa Degea katika hizi mechi mbili tukianzia na lile la Sturridge pale Anfield na la Benteke leo hii.

La Stulini nafikiri lilikuwa na deflection kidogo; la Benteke naamini hata DDG mwenyewe anafahamu alikosea timing.
 
Nzi;

kuna utatu pale mkuu kuna valencia,mata na herrera fuatilia ule upande hao watatu wanaocheza ni hatar tupu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unaongeleaje magoli aliyofungwa Degea katika hizi mechi mbili tukianzia na lile la Sturridge pale Anfield na la Benteke leo hii.

banteke kawa na bahati na sisi tu msimu huu
 
Wanafuata
1. Man city
2. Chelsea
Tukiwaumiza hawa nafasi ya pili ya kwetu.

Kumbe mtacheza dhidi ya City na chelsea mechi zinazofuata. Uhakika wetu wa kuishia top 3 utakamilishwa katika hizi mechi zenu 2. Mtaondoka maybe na 1 point kama sio 0 point.
 
Kumbe mtacheza dhidi ya City na chelsea mechi zinazofuata. Uhakika wetu wa kuishia top 3 utakamilishwa katika hizi mechi zenu 2. Mtaondoka maybe na 1 point kama sio 0 point.

Mlisema maneno hayohaya VS Spurs, VS Liverpool!
 
Mlisema maneno hayohaya VS Spurs, VS Liverpool!

Kawaida yao....Kuna aliesema.tutakusanya maximum 2 to 4 point kwenye games 6 anzia ile ya Spuds....Leo wanaleta story mpya

Game na City we are winning by a one goal margin....either 2-1 au 3-2
 
Reactions: Nzi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…