Weeee sasahivi tumerudi kwenye form yetu mbona UEFA na tutafika mpaka fainaly na tutacheza na Barca akishinda yoyote furaha kwangu, Ntuzu hapa nimeongea kama waleee rafiki zetu lol
Man U kwanini msitengeneze uwanja wenu uwe na muonekano mzuri, haiwezekani timu kubwa na yenye pesa kama Man U ikapitwa kuwa na uwanja mzuri na Taifa la Tanzania. Uwanja wa Mpya wa Taifa ni mzuri kuliko Old Trafford.
Ushawahi kufika OT?! Ukishajibu tutaendelea.
Man U kwanini msitengeneze uwanja wenu uwe na muonekano mzuri, haiwezekani timu kubwa na yenye pesa kama Man U ikapitwa kuwa na uwanja mzuri na Taifa la Tanzania. Uwanja wa Mpya wa Taifa ni mzuri kuliko Old Trafford.
....
....tuko gado waje tu uwembe uleule
Kwa sababu sasa hivi kila mechi ni kama fainali, natamani kuona kikosi hiki kesho kikianza.
1. DDG
2. Valencia
3. Blind
4. P. Jones
5. Rojo
6. Carrick
7. Mata
8. Herrera
9. Rooney
10. Fellain
11. Young (Di Maria atokee bench)
Hapa ni full kuwakimbiza bila huruma hadi wanyoshe mikono juu.
Mkuu naunga Mkono utabiri
Ukizingatia Evans bado ana adhabu na Smalling mgonjwa kati obviously ni Jones na Rojo na pembeni, mid na forward kama kawa
Golini natamani Valdes apewe debut kesho though can't see that happening
Mkuu naunga Mkono utabiri
Ukizingatia Evans bado ana adhabu na Smalling mgonjwa kati obviously ni Jones na Rojo na pembeni, mid na forward kama kawa
Golini natamani Valdes apewe debut kesho though can't see that happening
Valdes wa nini acha aendelee kukipiga U-21, De Gea atosha!
Ni kuukosea heshima Uwanja wetu wa Taifa Tanzania kuufananisha na uwanja wa ajabu ka old trafford.
OT umeuzidi uwanja wa taifa ktk Capacity na uwanja wao kuwa na matunzo.
Ila kuanzia muonekano na vitu vingine, Uwanja wa Taifa ni mkali sana kuliko huo Old Trafford.
Wacha nishangae tu, maana nahisi huu ni muujiza wa siku ya leo. Kukuta post ya id yangu, pasipo mimi kuiandika. Makubwa haya.
Jaman mimi naunga mkono kuwa hiki sio kipindi cha kujaribu hivyo de gea aanze valdes atajaribu pre season
Wacha nishangae tu, maana nahisi huu ni muujiza wa siku ya leo. Kukuta post ya id yangu, pasipo mimi kuiandika. Makubwa haya.
Tehe. Cha mhimu ushindi.
Wacha nishangae tu, maana nahisi huu ni muujiza wa siku ya leo. Kukuta post ya id yangu, pasipo mimi kuiandika. Makubwa haya.