Top 4 lazma
Mkuu we are not top 4 contender, we are th title contender. nafikiri utakuwa unatufananisha na ze goonerz
Siwezi jipa ban sababu mlishinda mkitumia loopholes ya Majogoo kuwa pungufu
11 kwa 11 hunifungi Anfield
One of the greatest scores of a lifetime for Man U
Mkuu we are not top 4 contender, we are th title contender. nafikiri utakuwa unatufananisha na ze goonerz
Atalinganishaje bunduki na Shetani huyo, anadhani anaweza kumuua Shetani kwa bunduki. Shetani anaibukia sehemu yoyote na wakati wowote hatabiriki....
Jamaa ana excuse za kimawenge....Liver alishaingia kwenye mashine ya kuchinjia....it wasn't about red card but about tactics
Sipati picha wangefunga goli wakiwa 11 kisha red card then tuka-draw.....mane lno ingekuwa mingi mtaani
Nzi ushawahi kusoma hii article??? Najua kuna mahali tulikuwa tunabishana na wanazi Fulani..
The Best Quotes About Paul Scholes | The SPORT Bible
Ha ha! Hao wanazi jembe lao kila msimu linawaangusha....mwaka jana liliwaharibia matumaini ya ubingwa, mwaka huu inavyoelekea, limeshawaharibi matumaini ya top 4....
Katika yoote hili jamaa sitasahau "lilivyompa" back-pass Drogba iliyowapa Chelsea Kombe kutoka mikononi mwetu
Mkuu sijaiona
Mmoja wa wachezaji jaap stam akihojiwa akisema hivi: ki ukweli hili kombe hatukuchukua, tumefanya kupora!
Kama namuona kuffor siku hiyo baada ya game alipiga piga mkono chini uwanjani mpaka akatengeneza kashimo! kiukweli tulipora coz kuna shuti alipiga basler ikala mtambaa panya duh utumbo ulikuwa unapanda na kushuka.