Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ntuzu unaona mashabiki wa man utd tulivyo??! hamna anaelialia na refa hapa!! tunadiscuss sisi wenyewe tumeharibu wapi, ila ingekuwa hii mechi tumeshinda ungesikia wapinzani wetu ambavyo wangekuwa wanaongelea makosa ya refa tu!!
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu unaona mashabiki wa man utd tulivyo??! hamna anaelialia na refa hapa!! tunadiscuss sisi wenyewe tumeharibu wapi, ila ingekuwa hii mechi tumeshinda ungesikia wapinzani wetu ambavyo wangekuwa wanaongelea makosa ya refa tu!!

umeonewa wapi na refa
teh teh teh
kifo hakikosi sababu
 
Last edited by a moderator:
dude are you retarded??!!! wapi nimesema refa katuonea??!!

Ntuzu unaona mashabiki wa man utd tulivyo??! hamna anaelialia na refa hapa!! tunadiscuss sisi wenyewe tumeharibu wapi, ila ingekuwa hii mechi tumeshinda ungesikia wapinzani wetu ambavyo wangekuwa wanaongelea makosa ya refa tu!!

refa umemtaja hapa

hapa sio sehemu ya malalamiko
 
Last edited by a moderator:

hapana wewe ndio ushukuru mungu mabeki zako hawajakuchoma sana
teh teh teh
danny welbenga

haya sasa malalamiko klabuni
 
Ntuzu unaona mashabiki wa man utd tulivyo??! hamna anaelialia na refa hapa!! tunadiscuss sisi wenyewe tumeharibu wapi, ila ingekuwa hii mechi tumeshinda ungesikia wapinzani wetu ambavyo wangekuwa wanaongelea makosa ya refa tu!!

Ni kweli mkuu mnachambua vzr lkn hakuna sasababu ya kulia na mwaamuzi ktk hili maana alifanya kz yake vzr. Ni kweli timu zingine hua zinalia sn na waamuzi ata sisi pia hufanya hivo lkn ni kwasababu maalumu.
 
Last edited by a moderator:
hapana wewe ndio ushukuru mungu mabeki zako hawajakuchoma sana
teh teh teh
danny welbenga

haya sasa malalamiko klabuni

Ahhhh!!! Tuweke ushabiki pembeni jana wala hamkucheza ajabu sana ilikuwa kawaida nilitegemea ile red mngetunywesha mvua ya mabao si mchezo maana tayari wachezaji wetu walikuwa wameshapanik kukawa no gud communication.

Garasa kawaida kuonyesha respect magarasa yen mangapi yanawatesa hadi mwayaita Yuda Iskariote, juzi na Monaco garasa lenu moja liliwaliza.
 


Mmmmmmmmmh mamito km si Di Gea ubao ulikua unasomeka ManU 1 Arsenal 4.

Sitaki kusema sn mamito kwasababu leo unahitaji faraja......
 
Wenyeji wa mtaa huu poleni sana
Mkuu Nzi angalia kikosi chako mstari wa mabeki haupo sawa

Unaweza kuwa sahihi...kama mdau alivyochambua hapo juu....sielewi kwanini LvG hampangi Rafael!!

Ila ushabiki na unazi tuweke pembeni, ushindi wa jana siyo wa kuifanya Arsenal kuwa bora kuliko United...timu zote ni majanga tu kwa sasa...

Kwa vile ushindi ni ushindi tu, hongereni.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu unaona mashabiki wa man utd tulivyo??! hamna anaelialia na refa hapa!! tunadiscuss sisi wenyewe tumeharibu wapi, ila ingekuwa hii mechi tumeshinda ungesikia wapinzani wetu ambavyo wangekuwa wanaongelea makosa ya refa tu!!

Ni kweli mkuu mnachambua vzr lkn hakuna sasababu ya kulia na mwaamuzi ktk hili maana alifanya kz yake vzr. Ni kweli timu zingine hua zinalia sn na waamuzi ata sisi pia hufanya hivo lkn ni kwasababu maalumu.

Frankly speaking Mimi huyu refa hapa hakunifurahisha hata yellow haikutoka then kwa Di Maria akatoa ya pili.......
 

Attachments

  • 1425978868066.jpg
    15.5 KB · Views: 123
Last edited by a moderator:
Tatzo la lvg anajifanya mjuaji saaaana, blunder substitutions imemcost kwa mara nyingine
 
Mmmmmmmmmh mamito km si Di Gea ubao ulikua unasomeka ManU 1 Arsenal 4.

Sitaki kusema sn mamito kwasababu leo unahitaji faraja......

Walishambulia na sisi tulishambulia jana ingetoka draw na washukuru sub mbovu ya mapema ya LVG, ongea tu babito sisi huwa hatujinyongi,lol
 
Walishambulia na sisi tulishambulia jana ingetoka draw na washukuru sub mbovu ya mapema ya LVG, ongea tu babito sisi huwa hatujinyongi,lol

Aya mamitooo, mi nasubiri zamu yangu kesho kwa PSG.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…