BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Kumbe ndio sababu siku nyingine huwa una hasira za kutisha unakuwa umepigwa mtaani na umepigwa EPL, leo shukuru Mungu almanusra. Hongereni kwa ushindi humu sasa mtaelewa mkiambiwa mpira ni dakika 90.
Nimekosa mechi mpaka dakika ya 80...kufika kukaa kidogo, dk. 9 badae Ashley kafanya yake...
Dah! Nimefurahi kuliko kawaida...maana nimetoka kwenye ligi ya soka ya mtaani, timu ninayochezea tumepigwa goli 6-0! Kwahiyo ushindi wa leo umenitoa machungu 😀
Ushindi leo ulikuwa muhimu kuliko maelezo, maana wakaanga sumu wote wameshinda, wangejaa humu kama nzige kwenye shamba!
Sasa wanaugulia uchungu kimya kimya 🙈🙈🙈