Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na wewe unaandika hivi sio? Poa utakuja kwetu.

Ha ha ha ha ha.....umenikumbusha mbali Sana! Enzi za utoto ukimzingua mwenzio anakwambia utaona ukija kwetu halafu kwao ndio wenzio na wewe mnapenda kwenda kucheza,aisee unapata mtihani hapo!
 
Ha ha ha ha ha.....umenikumbusha mbali Sana! Enzi za utoto ukimzingua mwenzio anakwambia utaona ukija kwetu halafu kwao ndio wenzio na wewe mnapenda kwenda kucheza,aisee unapata mtihani hapo!


Hahahaaaaaa, ni kweli mkuu.

ngoja tuone LFC leo na Spurs watakavotifuana..............

cc: Malafyale
 
Last edited by a moderator:
Mm nampiga huyu easily tu!Kane wao ni kwa Chelsea na Arsenal sio kwa majogoo


Ngoja tusubiri tuone, Spurs kwa mtazamo wangu wako vzr kuliko Everton mliocheza nao juzi. Km watakua ktk kiwango chao kizuri mchezo waweza kua mgumu.
 
Ngoja tusubiri tuone, Spurs kwa mtazamo wangu wako vzr kuliko Everton mliocheza nao juzi. Km watakua ktk kiwango chao kizuri mchezo waweza kua mgumu.

Kwanza Everton tulicheza ugenini na leo tupo kwenye Anfield kwetu

Pili tumepata sare na Everton sababu ya upuuzi wa Sterling na leo likely hachezi

Tatu ile ni derby haijalishi nani mzuri wa mwenzake yyt anaweza shinda

Leo napata points 3
 
Kwanza Everton tulicheza ugenini na leo tupo kwenye Anfield kwetu

Pili tumepata sare na Everton sababu ya upuuzi wa Sterling na leo likely hachezi

Tatu ile ni derby haijalishi nani mzuri wa mwenzake yyt anaweza shinda

Leo napata points 3


All the best mkuu.
 
Kwanza Everton tulicheza ugenini na leo tupo kwenye Anfield kwetu

Pili tumepata sare na Everton sababu ya upuuzi wa Sterling na leo likely hachezi

Tatu ile ni derby haijalishi nani mzuri wa mwenzake yyt anaweza shinda

Leo napata points 3

Basi Leo lazima niende kibanda umiza nishuhudie mechi hii...draw itakuwa fair result
 














When you defend indefensible.
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 
Kwanza Everton tulicheza ugenini na leo tupo kwenye Anfield kwetu

Pili tumepata sare na Everton sababu ya upuuzi wa Sterling na leo likely hachezi

Tatu ile ni derby haijalishi nani mzuri wa mwenzake yyt anaweza shinda

Leo napata points 3

Ahsante nabii....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…