Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,625
- 5,341
Saa nyingine inaudhi sana mkuu, Kwa mfano yule Falcao ametanguliziwa fresh halafu anapiga nje... yaani anakosa sana zaidi ya kufunga sana ana kiwango kama cha Welbeck tu Toka atue Manchester United... Man U hata akicheza na timu ipo namna gani, game yake inakuwa ngumu...Jana baada ya Big Sam kukosa point 3 zote kuna uchambuzi niliuona ktk mtanadao namna ManU walivo wabovu....maana jamaa anahoji haiwezekani mbele ukawa na RVP na Falcao nyuma kidogo ukawa na Di Maria, Rooney na Januzaj alafu unahangaika kufunga au kupata draw, yani unakuja kupa sare dakika za mwisho kwa shida....kweli ni shida hii timu aisee.
Kikosi ukiangalia kwa macho ni kikali, lakini kiwango chao cha uchezaji hawana tofauti na zile timu cha chini yake... Van Persie ni striker mkali lakini kwenye top ile ya wafungaji hayumo... Wanamwangalia mtu anapiga danadana halafu anatupia, jana waliniudhi kama wale wa Ghana walivyokosa penati pamoja na kipa wao ambae hakupangua hata penati moja...
kwa kikosi hicho cha Man U ilitakiwa wawe wanasumbuana na chelsea pale juu... lakini eti wanagombea nafasi ya 3 na 4...