Bado hajawa na match fitness arifu..ndio maana LvG anampa dakika...ni namba 2 muhimu sana..akiuzwa nani atacheza namba 2? Antonio yeye ni winga teleza...kucheza 2 ni kutokana na majeruhi katika backline..wakiwa fit wote, kocha ashasema atarudi kwenye 4-4-2..
Mkuu una fikra kama zangu. Haikuwa mechi rahisi na Spurs. Jambo kubwa tumepata point moja inayotupa uhakika wa kubaki nafasi ya tatu hadi weekend ijayo.
Mechi ninayojutia ni dhidi ya Villa ambayo ilikuwa yetu kabisa. Jambo la muhimu ni kusimamishwa kwa Chelsea ili kupunguza pengo la point.
Ova
aaah game hii ilikuwa ya kushinda basi tu FATIGUE imewakumba wachezaji wetu....baada ya kipindi cha kwanza perfomance level ikashuka kabisa....kwa nilivyoiona timu Stoke city tunawakalisha tuko vizuri sasa hivi yaani nadiriki kusema tuko vizuri kwa mara ya kwanza baada ya niaka miwili!!!
aaah game hii ilikuwa ya kushinda basi tu FATIGUE imewakumba wachezaji wetu....baada ya kipindi cha kwanza perfomance level ikashuka kabisa....kwa nilivyoiona timu Stoke city tunawakalisha tuko vizuri sasa hivi yaani nadiriki kusema tuko vizuri kwa mara ya kwanza baada ya niaka miwili!!!
Wacha kulialia fatigue kwani kuna timu haikucheza siku ya boxing day ... . . .. .khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie. Yangu macho.
Wacha kulialia fatigue kwani kuna timu haikucheza siku ya boxing day ... . . .. .khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie. Yangu macho.
Wacha kulialia fatigue kwani kuna timu haikucheza siku ya boxing day ... . . .. .khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie. Yangu macho.
aaah game hii ilikuwa ya kushinda basi tu FATIGUE imewakumba wachezaji wetu....baada ya kipindi cha kwanza perfomance level ikashuka kabisa....kwa nilivyoiona timu Stoke city tunawakalisha tuko vizuri sasa hivi yaani nadiriki kusema tuko vizuri kwa mara ya kwanza baada ya niaka miwili!!!
Aisee usiseme hivyo. Tottenham were very shitty today...wamecheza limpira la ajabu sijawahi ona. Msidhan kwa game ya leo mtamfunga Stoke. Defence yenu bado ni mbovu balaa (am sure uliliona hili).
De Gea yupo vizuri..nimemtamani!
Ila if it was a bet...i'd put my money on Stoke (basing on michezo yenu ya leo)