boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,988
- 1,034
Msijidanganye kuwa mna timu ya kugombea ubingwa, hizi ni nguvu za soda tu
Pole mkuu Pazi, hawa jamaa wanaokolewa na kipa ama sivyo wangekuwa chini ya walipo
Pole mkuu Pazi, hawa jamaa wanaokolewa na kipa ama sivyo wangekuwa chini ya walipo
We jamaa unashangaza sana. Kipa ameajiriwa kwa ajili gan??
Welcome back,
Tatizo letu kubwa ni beki na kila wiki beki anaumia sidhani kama tumeweza kuchezesha same back four kwenye game 3 mfululizo.I hope kama tusingepata majeruhi mabeki wangeelewana
Dah! rubaman anatia huruma :becky::becky::becky:
Kuna jambo uwa linanishangaza sana, haswa kwa pundits wa UK.
United ikishinda games bila kucheza vizuri, basi utawasikia wanavyopondea na kusema eti siyo United's way of playing; oh, timu haina identity, oh, inacheza kama timu ya walevi (a pub team) n.k. Wanasahau 'winning ugly' ilikuwa ni moja ya philosophy ya timu hata chini ya SAF.
Lakini mpiga domo Maureen akipaki basi na kushinda games, anaonekana master tactician:A S 13::A S 13::A S 13: Wenger akishinda kwa kucheza vibaya, utawasikia eti hivyo ndivyo inapaswa kuwa wakati mwingine siyo kucheza tiki-taka kila mechi.
Yaani kwa UK, nafikiri United ni timu inayoongozwa kuchukiwa na waandishi wa habari na pundits wengi..
Ni ajabu na kweli...
Manchester United ni timu inayochukiwa UK ? Utakuwa unatania ama unajisahaulisha. Manchester United ni timu ya FA administration,mnabebwagwa hata msipostahili.Timu inayochukiwa England ni Arsenal tu, rekodi haisemi uongo.
Hayahesabiki? Au hayana point tatu?.Magoli ya kuvizia ... ... khe he khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Manchester United ni timu inayochukiwa UK ? Utakuwa unatania ama unajisahaulisha. Manchester United ni timu ya FA administration,mnabebwagwa hata msipostahili.Timu inayochukiwa England ni Arsenal tu, rekodi haisemi uongo.
Manchester United ni timu inayochukiwa UK ? Utakuwa unatania ama unajisahaulisha. Manchester United ni timu ya FA administration,mnabebwagwa hata msipostahili.Timu inayochukiwa England ni Arsenal tu, rekodi haisemi uongo.
Kama hujui jambo uliza ufahamishwe, ... kwanza ujue ndani ya FA kuna uingereza sana (ubaguzi) ndio maana Rio ferdinand amesema ye akimaliza career yake basi anataka aingie kwenye administration.
Unaposema Man utd inabebwa huo ni ushabiki wa vijiweni. ...katika vilabu ambavyo vimekutana na adhabu zisizostahili kutoka FA basi man utd kakutana nazo nyingi sana...mpk Rio alishawahi kusema kuwa fine wanazopigwa man utd players wakifanya kosa ni kubwa tofauti na mchezaji wa timu nyingine akifanya kosa kama hilo.
Pia fahamu kuwa man utd haipendwi sana hapa uingereza kama inavyopendwa nje ya UK na hasa bara la ASIA, tofauti na vilabu kama Madrid na Barcelona ambavyo vinapendwa sana huko kwao, na hii ni kwa sababu ya FA walianzisha campaign ya 'support ur local team'..na ujue tu mji wa Manchester una team tatu kubwa unazozijua wewe ambazo ni man utd, man city na Wigan lkn timu ya wakazi wa pale wanayoishabikia miaka yote na yenye wapenzi wengi Ktk mji ule (local team) ni man city, hivyo usifikiri man city ni team ya juzi.
Arsenal mchawi wenu ni meneja wenu na sera zake ambazo mpk yule shareholder wa kirusi kazichoka. ...mara ngapi wenger anapewa pesa lkn hataki kununua wachezaji wenye majina kwa kuogopa gharama?....