Wacha1 sou 1 mun 2 soma ubao mkuu
Jamaa wanakuja wote, halafu wako vizuri hao.
Ova
Mbona hiyo kengewa haiendi kwa yule Pinnochio wa Arsenal anayechana nywele zake kwa feni hadi fans wanamzoea kama mtoto?
Ova
LVG amemrudishia RVP confidence kwa kumpanga kila game
Mi naangalia mpira wewe Wacha fujo . .. .. .. .. .
2 minutes + 4min extra time ... ... . sasa Manure kwa staili hii naona hamuwezi kurudi kwenye CL bado mna matongotongo ya MK Dons khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tunafukuza mwizi kimyakimya tu... hamad nafasi ya pili hii hapa, Point 5 si nyingi. Loserfools tutawaua