sikushangaa ushindi wa jana wa man u zidi ya asernal ila nilipata hamasa kubwa ya kushangilia kutokana na aina ya ushindi wenyewe na kikosi cha man the way kilivyokuwa dhaifu zaidi ya mara 100 zidi ya asernal.
Nilishawahi kusema kwenye Epl asernal ni kama mke mkubwa huwa hasumbui anapoletewa mtoto wa nje au mke mdogo,hata tukipanga makipa 9 uwanjani asernal hawawezi kutufunga