Manchester United (Red Devils) | Special Thread

sikushangaa ushindi wa jana wa man u zidi ya asernal ila nilipata hamasa kubwa ya kushangilia kutokana na aina ya ushindi wenyewe na kikosi cha man the way kilivyokuwa dhaifu zaidi ya mara 100 zidi ya asernal.

Nilishawahi kusema kwenye Epl asernal ni kama mke mkubwa huwa hasumbui anapoletewa mtoto wa nje au mke mdogo,hata tukipanga makipa 9 uwanjani asernal hawawezi kutufunga
 
Hahahahah mkuu umenifurahisha sana, arsenal kwa man ni mchumba tu
Tulishawahi kuwafunga arsenal tukiwa na mabeki 9 uwanjani leo tumewafunga tukiwa na ma forward 9 uwanjani.
Hawa tumefunga nao ndoa.
 
wayne man



jembe....



workhorse....



majeruhi hayaishi
 
huu ushindi ni mtamu sana,hakuna raha kama kuwafunga midomo watu wenye kidomodomo kama gooners

arguably world number one



angel



hata ashley young jana kakimbiza!



mpira umemshinda kijana anaanza kupiga watu vichwa



red card offence

 
weekend saaaaafiii,mji umetuliaaaa



paddy



hakuna njia leo



1-0

 
Reactions: Nzi
tuendelee kuburudika,ushindi huu umeturudisha top four



huyu no.10 anawafunga arsenal balaa



mpira umewashinda wanaanza ngumi,vichwa...



dk 8!!! hata wangeongezewa 80 wasingeshinda hii game

 
Ahsante mkuu. Ila kimebaki kitu kimoja tu, nacho si chingine bali ni hiko KITI ulichokalia.



Mkuu Kitoabu kiti changu huwezi kukikalia Yani Hilo usahau kabisa.

Napenda kuona mnaimarika ili ligi iwe nzuri na yenye upinzani lkn kuja kukaa Hapa nilipo Hilo usahau kabisa...!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…