Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa nini mnapenda sana kudharau timu wakuu?

Hii ni Premiership ati ambapo timu ya mwisho inaweza kuifunga iliyo juu.

Acheni hizo bana. Mechi kama hizi ndo zinafanya Premiership kuwa exciting.

Wacha kulialia khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtafute Bello ndio umwambie hizo habari khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Reactions: Mbu
Maure ishakuwa timu ya kata hii. Hamna beki na itawacost msimu huu vibaya.
 
Hummels aje tu. Kocha suka beki hiyo. Kila mchezaji ashajua wekaness yetu beki.
 
Hahahahaha. It was really a nice sub, maana Mata ndo kasababisha Leicester kufunga goli.

Ila on serious point, defensively Man Utd hawako safi. You need a leader at the back.


Now we can talk. Hummels na mabeki wa maana wanahitajika.
 
Hahahahaha. It was really Ila on serious point, defensively Man Utd hawako safi. You need a leader at the back.

Hilo mbona lipo wazi...CB 1 anahitajika...ndio maana Hummels yupo kwenye rada..
 
Jamani Judas Iskariot hakucheza, Je, Di mariana? Au WineRomney? Wacha neni na masihara ... .. ..... ... yaani hawa Leicester wamewazibua twice? Nzi wataruka sana leo kumsaka Belo na Bulldogs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…