Aisee mi naona niko tofauti na wewe! Dogo ni clinical finisher, madrid watu wa kumuwekea mpira ndani ya six yard box wapo wengi. Yaani mi naona pale ndo kafika. Pia angeenda Barca angefanya poa sababu watengenezaji wapo wengi.
Sidhani kama dogo atakuwa na life poa ndani ya Madrid japo wengi wamepakimbia ili wasiharibike kutokana na ushindani wa namba ila nahisi tuliyemtoa na atakayerudia level zake ni Kagawa
No way out kwa sababu academy imeshindwa kutoa wachezaji wazuri kwenda first team kwa sasa, Utd inahitaji kubadilishwa sio tu first team bali kuanzia kwenye acadermy
Sidhani kama dogo atakuwa na life poa ndani ya Madrid japo wengi wamepakimbia ili wasiharibike kutokana na ushindani wa namba ila nahisi tuliyemtoa na atakayerudia level zake ni Kagawa
Chicha ni mzuri sana alipaswa kwenda timu ambayo atacheza kila wiki Madrid kuna Isco,Jesse,CR7,Bale,Benzema,Rodriguez kumbuka Morata aliondoka sababu ya kukaa benchi
Huyu Falcao ana aleji na
Champions league
wakati porto ina qualify ucl
yeye akahamia
atletico ambayo haipo uefa na
atletico
wakafuzu yeye akahama
akaenda monaco
wakati monaco nao wamefuzu
uefa anahama
tena anaenda mtaa wa saba
huyu jamaa
wenzake wanatafuta kucheza
uefa yeye
anakimbia
Chicha ni mzuri sana alipaswa kwenda timu ambayo atacheza kila wiki Madrid kuna Isco,Jesse,CR7,Bale,Benzema,Rodriguez kumbuka Morata aliondoka sababu ya kukaa benchi
Hapa mmelamba DUME, kama ataepuka daruga za beki za EPL na akatulizwa kichwa (maana siku zote akili yake iko Madrid) basi atawaokoa na hizi kejeli za kila siku