Mbeky
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 672
- 520
Sielewi kitu hapa . Mshikaji kama unaamini au kuona ushabiki wako kwa Man United umekuwa tested basi wewe hufai kuwa mshabiki wa hiyo timu maybe wewe ni mmoja ya wale mliofuata Man United sababu ina mafanikio. Naamini shabiki wa kweli hawezi kkuwa tested, ukiipenda timu unaipenda hata ikiwa ktk hali mbaya kivipi unaonyesha una mashaka na upenzi wako kwa Manchester United..ni maono yangu
Naelewa kabisa na nakubaliana na wewe ulichosema..kama mshabiki unatakiwa kuwa upande wa timu kwenye shida na raha..
Tatizo letu washibiki wa MUFC tulizoezwa raha tu sa kimekuja kipindi cha shida imekua hard to swallow.
Ni kama mtoto aliyezaliwa kwenye familia ya kishua masaki kwa maika 26 afu gafla mshua akafariki maisha yakakata sa inabidi familia iamie kwa Mtongole sasa imagine mtoto anapataje wakati mgumu kipindi hicho cha kubadili maisha