Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Naelewa kabisa na nakubaliana na wewe ulichosema..kama mshabiki unatakiwa kuwa upande wa timu kwenye shida na raha..
Tatizo letu washibiki wa MUFC tulizoezwa raha tu sa kimekuja kipindi cha shida imekua hard to swallow.
Ni kama mtoto aliyezaliwa kwenye familia ya kishua masaki kwa maika 26 afu gafla mshua akafariki maisha yakakata sa inabidi familia iamie kwa Mtongole sasa imagine mtoto anapataje wakati mgumu kipindi hicho cha kubadili maisha
 

Mata still ataendelea kucheza namba 10,since LVG amekuja ndio anacheza hapo na kocha anamkubali ukilinganisha na Kagawa,Januzaj.Di Maria ni mzuri kwenye winga but baada ya kuja Bale na kuumia Khedira alicheza kiungo(Alonso,Mondric,Di Maria) so huenda wakacheza ( Herera,Di Maria,Carick),ujio wa Di Maria una impact kwa Januzaj
 
Last edited by a moderator:

Toa carrick weka vidal
 
Dawa ni kusajili john bomo sijui kwa ni i man utd hawaoni hili? Toa van persie weka john boko...fukuza kabisa rooney weka mbuyi twite ,,
 

wachezaji ni level ya kawaida/average player wanachezeshwa formation ya classic players lazima watakuwa vulnerable na mashambulizi ya kushtukiza na kutokuelewana,hvyo kupelekda kuwa predictable
 
What a disappoint night for Man utd fans....
Mbu > Nzi
 
Last edited by a moderator:
''EDIN DZEKO Eddzeko
Hahahaha

PETR CECH PetrCechFootball is full of incredible moments...
Really anything can happen during one football game ... That's why I love it !


EMMANUEL FRIMPONG iamFRIMPONG26Might turn up at United tomorrow for trials


FRANNY LEE frannyLee7What price William Grigg signs
for United before the deadline?!


GARY LINEKER garyLinekerSomeone get Di Maria to Milton Keynes sharpish!''
















Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
 

True say
GGM
 
Mnajipa moyo sana Mashetani. Subirini muone ligi ilivyo mtajuta kwanini mlimchukua huyo Di Maria
 
Mnajipa moyo sana Mashetani. Subirini muone ligi ilivyo mtajuta kwanini mlimchukua huyo Di Maria



Siku hizi nimesahau kabisa km kuna timu ya mashetani wekundu!

Mkuu Mentor mpatie mdudu Nzi fomu ya kushabikia chelsea
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…