Hongereni Man Utd kwa kupata Kocha mpya!
Tutegemee msimu mzuri wenye changamoto nyingi!
Jose Mourinho
Luis Van Gaal
Manuel Pelegrine
Wenger
Brendan Rodgers
Ktk hao makocha wote Tutegemee changamto kibao!
Hongereni Man Utd kwa kupata Kocha mpya!
Tutegemee msimu mzuri wenye changamoto nyingi!
Jose Mourinho
Luis Van Gaal
Manuel Pelegrine
Wenger
Brendan Rodgers
Ktk hao makocha wote Tutegemee changamto kibao!
Hongereni Man Utd kwa kupata Kocha mpya!
Tutegemee msimu mzuri wenye changamoto nyingi!
Jose Mourinho
Luis Van Gaal
Manuel Pelegrine
Wenger
Brendan Rodgers
Ktk hao makocha wote Tutegemee changamto kibao!
hapa hamna jipya.
Duh! Umemshushia heshima LVG kumweka katika list moja na kina Wenger, Pellegrini na Brenda. Hawa hawana hadhi ya kukaa kwenye platform moja na LVG aisee. Maureen sawa, kutokana na idadi ya vikombe alivyoshinda domestic na continental-wise.
wenger mtoe hapo hakuna cha maana atakachofanya zaidi ya kugombania nafasi ya nne
Ninachosema ni changamoto zitakuwepo! Ata km hakuna jipya!
Hiyo kugombania nafasi Ndio ninako kusemea Mimi! Nani atakua nje ya top four?
Maana msimu huu uliopita juzi Man Utd kakaa nje ya Top Four! Next season ni zamu ya nani? Arsenal? Liverpool? City? Au chelsea? Au Man Utd yenyewe tena? Au Spurs na Evaton zitakua ktk top four na Arsenal Na Liverpool watakua nje?
Mambo Hayo!
man u kukaa out of top four itakuwa ngumu tena sana,kama liver watashindwa kumzuia suarez,na u busy wa uefa basi its guaranteed kwamba liver yupo nje ya top na kama wataweza kumbakiza basi mmoja wapo kati ya liver au arsenal lazima atabaki out of top four.
wenger mtoe hapo hakuna cha maana atakachofanya zaidi ya kugombania nafasi ya nne
hivi bado mnaugulia maumivu tu?teh teh
Thx Mkuu! Those are are challenges which we are going to see for the next season!
teh teh teh we nawe umetokea wapi na unaona cha maana gani ambacho wenger atakifanya zaidi ya kuendeleza philosophy zake zilezile na pia kuwaamini makinda wake akina sanogo na kumtegemea giroud as a main striker
Pamoja na kutegemea makinda wake na huyo giroud bt arsenal haijawahi ishi mtaa mmoja na marijani rajabu..(7),ila manure pamoja na 'word'crash player whtney rooney,roby van pussy,matak,michelle carick,na nyoshi el sadat wametoka empty!!polen mana mumetangaza hasara kubwa kwa kushndw kushrk hta europa,nyinyi ni wa kupigana vikumbo na kina westbromwich
man u kukaa out of top four itakuwa ngumu tena sana,kama liver watashindwa kumzuia suarez,na u busy wa uefa basi its guaranteed kwamba liver yupo nje ya top na kama wataweza kumbakiza basi mmoja wapo kati ya liver au arsenal lazima atabaki out of top four.